Rais wa TLS (Mwabukusi) anaikosea heshima TLS

Rais wa TLS (Mwabukusi) anaikosea heshima TLS

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Nawashauri TLS kumshauri Rais wao Mwabukusi kujiepusha na siasa chafu za chadema.

Kweli katiba inamruhusu kushabikia Upande anaotaka lkn yeye kama kiongozi wa mawakili nchini na anaeongoza Taasisi alioita pinzani kwa ccm ni vizuri kukaa kimya katika kipindi hichi, kuegemea kwa LISSU huku kutoa manano ya kejeli kwa Mwenyekiti sio dalili njema kwake.

Ndani ya chadema kuna mawakili wengi wanaomuunga mkono Mbowe.

Sababu ya kumshauri

Ataepusha mgogoro wa uongozi kati ya chadema na TLS
Pia baada ya uchaguzi chadema na mbowe kushinda pana uwezekano mkubwa kusukwa zengwe na chadema ili kuhakikisha Mwambukusi anatikishwa TLS kwa kutumia Mawakili wa chadema na waliokuwa against yeye.
Unapokuwa kiongozi unatakiwa utumie akili nyingi kuliko uanaharakat
Ajirupishe tabia za akina
Mdude
Maria
Fatma Shangazi
Jabra
Madeleka
Hao hawamuongozi mtu

Juu ya yote Lakini ujiulize

1. Mbona viongozi wa Yanga na Simba kimya?

2. Madaktari?

3. Jukwaa la wahariri?

4. MOAT?

Mbona yeye tu?

Lao Tzu (Mwanafalsafa wa Kichina)

"He who does not interfere with others is the best leader."
Baada ya uchaguzi kwisha.

Mwambukusi atafanya kazi na Chadema? Au atamfata lissu Chauma?
Ni mimi wenu team Mbowe
 
Team lissu mpo? Au mnangoja maria space mumjadili Mbowe?
 
Mwananchi yeyote ana haki ya kuwa na maoni yake
Nelson Mandela - Alisisitiza heshima kwa uhuru wa watu wengine na kutoshinikiza maamuzi katika jamii au taasisi nyingine.

"Resentment is like drinking poison and then hoping it will kill your enemies."
Hii inahimiza kujizuia na kutofanya mambo kwa hasira au kuingilia mambo yasiyokuhusu.
 
Nawashauri TLS kumshauri Rais wao Mwabukusi kujiepusha na siasa chafu za chadema.

Kweli katiba inamruhusu kushabikia Upande anaotaka lkn yeye kama kiongozi wa mawakili nchini na anaeongoza Taasisi alioita pinzani kwa ccm ni vizuri kukaa kimya katika kipindi hichi, kuegemea kwa LISSU huku kutoa manano ya kejeli kwa Mwenyekiti sio dalili njema kwake.

Ndani ya chadema kuna mawakili wengi wanaomuunga mkono Mbowe.

Sababu ya kumshauri

Ataepusha mgogoro wa uongozi kati ya chadema na TLS
Pia baada ya uchaguzi chadema na mbowe kushinda pana uwezekano mkubwa kusukwa zengwe na chadema ili kuhakikisha Mwambukusi anatikishwa TLS kwa kutumia Mawakili wa chadema na waliokuwa against yeye.
Unapokuwa kiongozi unatakiwa utumie akili nyingi kuliko uanaharakat
Ajirupishe tabia za akina
Mdude
Maria
Fatma Shangazi
Jabra
Madeleka
Hao hawamuongozi mtu

Juu ya yote Lakini ujiulize

1. Mbona viongozi wa Yanga na Simba kimya?

2. Madaktari?

3. Jukwaa la wahariri?

4. MOAT?

Mbona yeye tu?

Baada ya uchaguzi kwisha.

Mwambukusi atafanya kazi na Chadema? Au atamfata lissu Chauma?
Ni mimi wenu team Mbowe
Mlimtaka mwabukusi , sasa kuleni manyoya

Btw, wanasheria mmekuaje,? Mbona mnalalama mitandaoni,,, hamna ofisi?
 
Kwa hiyo CHADEMA wanapoingiliaga uchaguzi wa TLS huwa wapo Sawa?
 
Tulia wewe, acheni hao viongozi wa taasisi waoneshe ni wapi wanaunga mkono. Mbowe hatakiwi ila anashupaza shingo tu
 
Mbona Shehe Ponda anamshakia Tundu Lisu na yeye ni Kiongozi wa Baraza la Maulamaa?
 
Nawashauri TLS kumshauri Rais wao Mwabukusi kujiepusha na siasa chafu za chadema.

Kweli katiba inamruhusu kushabikia Upande anaotaka lkn yeye kama kiongozi wa mawakili nchini na anaeongoza Taasisi alioita pinzani kwa ccm ni vizuri kukaa kimya katika kipindi hichi, kuegemea kwa LISSU huku kutoa manano ya kejeli kwa Mwenyekiti sio dalili njema kwake.

Ndani ya chadema kuna mawakili wengi wanaomuunga mkono Mbowe.

Sababu ya kumshauri

Ataepusha mgogoro wa uongozi kati ya chadema na TLS
Pia baada ya uchaguzi chadema na mbowe kushinda pana uwezekano mkubwa kusukwa zengwe na chadema ili kuhakikisha Mwambukusi anatikishwa TLS kwa kutumia Mawakili wa chadema na waliokuwa against yeye.
Unapokuwa kiongozi unatakiwa utumie akili nyingi kuliko uanaharakat
Ajirupishe tabia za akina
Mdude
Maria
Fatma Shangazi
Jabra
Madeleka
Hao hawamuongozi mtu

Juu ya yote Lakini ujiulize

1. Mbona viongozi wa Yanga na Simba kimya?

2. Madaktari?

3. Jukwaa la wahariri?

4. MOAT?

Mbona yeye tu?

Lao Tzu (Mwanafalsafa wa Kichina)

"He who does not interfere with others is the best leader."
Baada ya uchaguzi kwisha.

Mwambukusi atafanya kazi na Chadema? Au atamfata lissu Chauma?
Ni mimi wenu team Mbowe
kila mtu anayohaki kufuatilia na kutoa maoni yake kisiasa muhimu asivunje katiba ya nchi.
 
Dalai Lama

"Our prime purpose in this life is to help others. And if you can't help them, at least don't hurt them."
 
Mlimtaka mwabukusi , sasa kuleni manyoya

Btw, wanasheria mmekuaje,? Mbona mnalalama mitandaoni,,, hamna ofisi?
Huyo ni mwanasheria wa kitu gani? Humu JF huyo ni classified mdini, mfuasi wa S..A.W kindakindaki
 
Mbowe sio mtu mbaya ila baada ya kuona amekwama kutuvusha amebaki mtu wa kucheza na akili za wanamageuzi.

Lissu anatosha, .
 
Huyo ni mwanasheria wa kitu gani? Humu JF huyo ni classified mdini, mfuasi wa S..A.W kindakindaki
Mfuasi wa S.A. W kindaki kindaki hio heshima kubwa kwangu, waislam wote duniani tunatakiwa tuwe na sifa hio. Tuwe chawa wa S.A.W .
Hoja ya leo sio hio
Hoja kwanini Rais wa TLS anashabikia upande mmoja wakati yeye ni kiongozi?
 
Kama wewe ulivyojipambanua kuwa ni Timu Mbowe, acha Mwambukusi naye ajipambanue kuwa ni Timu Lissu.

Kila mtu ana uhuru wa kuchagua upande anaoona unafaa
 
Back
Top Bottom