Rais wa TLS (Mwabukusi) anaikosea heshima TLS

Rais wa TLS (Mwabukusi) anaikosea heshima TLS

Kama wewe ulivyojipambanu kuwa ni Timu Mbowe, acha Mwambukusi naye ajipambanue kuwa ni Timu Lissu.

Kila mtu ana uhuru wa kuchagua upande anaoona unafaa
Mwambukusi baada ya uchaguzi wa chadema ajiandae mgogoro TLS.
MANDELA AMESEMA
Intervention in others’ affairs must only be done when justice and humanity demand it."
Mandela aliamini kwamba uingiliaji wa
 
Nawashauri TLS kumshauri Rais wao Mwabukusi kujiepusha na siasa chafu za chadema.

Kweli katiba inamruhusu kushabikia Upande anaotaka lkn yeye kama kiongozi wa mawakili nchini na anaeongoza Taasisi alioita pinzani kwa ccm ni vizuri kukaa kimya katika kipindi hichi, kuegemea kwa LISSU huku kutoa manano ya kejeli kwa Mwenyekiti sio dalili njema kwake.

Ndani ya chadema kuna mawakili wengi wanaomuunga mkono Mbowe.

Sababu ya kumshauri

Ataepusha mgogoro wa uongozi kati ya chadema na TLS
Pia baada ya uchaguzi chadema na mbowe kushinda pana uwezekano mkubwa kusukwa zengwe na chadema ili kuhakikisha Mwambukusi anatikishwa TLS kwa kutumia Mawakili wa chadema na waliokuwa against yeye.
Unapokuwa kiongozi unatakiwa utumie akili nyingi kuliko uanaharakat
Ajirupishe tabia za akina
Mdude
Maria
Fatma Shangazi
Jabra
Madeleka
Hao hawamuongozi mtu

Juu ya yote Lakini ujiulize

1. Mbona viongozi wa Yanga na Simba kimya?

2. Madaktari?

3. Jukwaa la wahariri?

4. MOAT?

Mbona yeye tu?

Lao Tzu (Mwanafalsafa wa Kichina)

"He who does not interfere with others is the best leader."
Baada ya uchaguzi kwisha.

Mwambukusi atafanya kazi na Chadema? Au atamfata lissu Chauma?
Ni mimi wenu team Mbowe
Chadema ni nyumba ya Kambale, kila mtu ana sharubu!
 
Nelson Mandela - Alisisitiza heshima kwa uhuru wa watu wengine na kutoshinikiza maamuzi katika jamii au taasisi nyingine.

"Resentment is like drinking poison and then hoping it will kill your enemies."
Hii inahimiza kujizuia na kutofanya mambo kwa hasira au kuingilia mambo yasiyokuhusu.
Ndio maana ilihitajika nguvu ya ziada kutoka kwa Nyerere kwenda kuikomboa nchi yake.

Maana yake the so called BUSARA was useless at that time.

Hiyo inatuonesha kuwa "BUSARA" mbele ya wakandamizaji wa haki haiwezi kukupa suluhisho katika safari yako ya ukombozi.

BUSARA ya kufikia hatua kuwapongeza kwa kuwapa TUZO wale ambao wamehusika kwenye matukio ya wizi wa kura, huo ni upimbi.
 
Nawashauri TLS kumshauri Rais wao Mwabukusi kujiepusha na siasa chafu za chadema.

Kweli katiba inamruhusu kushabikia Upande anaotaka lkn yeye kama kiongozi wa mawakili nchini na anaeongoza Taasisi alioita pinzani kwa ccm ni vizuri kukaa kimya katika kipindi hichi, kuegemea kwa LISSU huku kutoa manano ya kejeli kwa Mwenyekiti sio dalili njema kwake.

Ndani ya chadema kuna mawakili wengi wanaomuunga mkono Mbowe.

Sababu ya kumshauri

Ataepusha mgogoro wa uongozi kati ya chadema na TLS
Pia baada ya uchaguzi chadema na mbowe kushinda pana uwezekano mkubwa kusukwa zengwe na chadema ili kuhakikisha Mwambukusi anatikishwa TLS kwa kutumia Mawakili wa chadema na waliokuwa against yeye.
Unapokuwa kiongozi unatakiwa utumie akili nyingi kuliko uanaharakat
Ajirupishe tabia za akina
Mdude
Maria
Fatma Shangazi
Jabra
Madeleka
Hao hawamuongozi mtu

Juu ya yote Lakini ujiulize

1. Mbona viongozi wa Yanga na Simba kimya?

2. Madaktari?

3. Jukwaa la wahariri?

4. MOAT?

Mbona yeye tu?

Lao Tzu (Mwanafalsafa wa Kichina)

"He who does not interfere with others is the best leader."
Baada ya uchaguzi kwisha.

Mwambukusi atafanya kazi na Chadema? Au atamfata lissu Chauma?
Ni mimi wenu team Mbowe
Mwabukusi amefanya kosa kubwa kuside upande wakati yeye ni kiongozi wa umma, labda atuambie kama yeye sio kiongozi wa umma.
 
Back
Top Bottom