Mwambukusi baada ya uchaguzi wa chadema ajiandae mgogoro TLS.Kama wewe ulivyojipambanu kuwa ni Timu Mbowe, acha Mwambukusi naye ajipambanue kuwa ni Timu Lissu.
Kila mtu ana uhuru wa kuchagua upande anaoona unafaa
Wakili msomi ana HAKI ya kutoa maoni yake kama Mwabukusi.Mwananchi yeyote ana haki ya kuwa na maoni yake
Mwambukusi chadema?Mbona unawashwa washwa sana na mambo ya Chadema wewe mccm? Kausha tuachie wenyewe huu mtanange. Wewe mbona ni team Mbowe na hatusemi?
Zile 4 kazipeleka Lumumba ccm?Wakili msomi ana HAKI ya kutoa maoni yake kama Mwabukusi.
Kwani wewe Chadema? Kama ulivyo huru na yeye yuko huru,sawa sawa?Mwambukusi chadema?
Yeye kiongozi wa TLS sio kama madeleka au Jebra ambao ni washuaKwani wewe Chadema? Kama ulivyo huru na yeye yuko huru,sawa sawa?
Unaongea nini?!Zile 4 kazipeleka Lumumba ccm?
Kuwa kiongozi hakumfungi kutoa maoni binafsi.Yeye kiongozi wa TLS sio kama madeleka au Jebra ambao ni washua
yeye anakejeliKuwa kiongozi hakumfungi kutoa maoni binafsi.
Hiyo ni tafsiri yako wewe.Iyeye anakejeli
Chadema ni nyumba ya Kambale, kila mtu ana sharubu!Nawashauri TLS kumshauri Rais wao Mwabukusi kujiepusha na siasa chafu za chadema.
Kweli katiba inamruhusu kushabikia Upande anaotaka lkn yeye kama kiongozi wa mawakili nchini na anaeongoza Taasisi alioita pinzani kwa ccm ni vizuri kukaa kimya katika kipindi hichi, kuegemea kwa LISSU huku kutoa manano ya kejeli kwa Mwenyekiti sio dalili njema kwake.
Ndani ya chadema kuna mawakili wengi wanaomuunga mkono Mbowe.
Sababu ya kumshauri
Ataepusha mgogoro wa uongozi kati ya chadema na TLS
Pia baada ya uchaguzi chadema na mbowe kushinda pana uwezekano mkubwa kusukwa zengwe na chadema ili kuhakikisha Mwambukusi anatikishwa TLS kwa kutumia Mawakili wa chadema na waliokuwa against yeye.
Unapokuwa kiongozi unatakiwa utumie akili nyingi kuliko uanaharakat
Ajirupishe tabia za akina
Mdude
Maria
Fatma Shangazi
Jabra
Madeleka
Hao hawamuongozi mtu
Juu ya yote Lakini ujiulize
1. Mbona viongozi wa Yanga na Simba kimya?
2. Madaktari?
3. Jukwaa la wahariri?
4. MOAT?
Mbona yeye tu?
Lao Tzu (Mwanafalsafa wa Kichina)
"He who does not interfere with others is the best leader."
Baada ya uchaguzi kwisha.
Mwambukusi atafanya kazi na Chadema? Au atamfata lissu Chauma?
Ni mimi wenu team Mbowe
Ndio maana ilihitajika nguvu ya ziada kutoka kwa Nyerere kwenda kuikomboa nchi yake.Nelson Mandela - Alisisitiza heshima kwa uhuru wa watu wengine na kutoshinikiza maamuzi katika jamii au taasisi nyingine.
"Resentment is like drinking poison and then hoping it will kill your enemies."
Hii inahimiza kujizuia na kutofanya mambo kwa hasira au kuingilia mambo yasiyokuhusu.
Vyama vyote vya siasa vipo hivyoChadema ni nyumba ya Kambale, kila mtu ana sharubu!
Mwabukusi amefanya kosa kubwa kuside upande wakati yeye ni kiongozi wa umma, labda atuambie kama yeye sio kiongozi wa umma.Nawashauri TLS kumshauri Rais wao Mwabukusi kujiepusha na siasa chafu za chadema.
Kweli katiba inamruhusu kushabikia Upande anaotaka lkn yeye kama kiongozi wa mawakili nchini na anaeongoza Taasisi alioita pinzani kwa ccm ni vizuri kukaa kimya katika kipindi hichi, kuegemea kwa LISSU huku kutoa manano ya kejeli kwa Mwenyekiti sio dalili njema kwake.
Ndani ya chadema kuna mawakili wengi wanaomuunga mkono Mbowe.
Sababu ya kumshauri
Ataepusha mgogoro wa uongozi kati ya chadema na TLS
Pia baada ya uchaguzi chadema na mbowe kushinda pana uwezekano mkubwa kusukwa zengwe na chadema ili kuhakikisha Mwambukusi anatikishwa TLS kwa kutumia Mawakili wa chadema na waliokuwa against yeye.
Unapokuwa kiongozi unatakiwa utumie akili nyingi kuliko uanaharakat
Ajirupishe tabia za akina
Mdude
Maria
Fatma Shangazi
Jabra
Madeleka
Hao hawamuongozi mtu
Juu ya yote Lakini ujiulize
1. Mbona viongozi wa Yanga na Simba kimya?
2. Madaktari?
3. Jukwaa la wahariri?
4. MOAT?
Mbona yeye tu?
Lao Tzu (Mwanafalsafa wa Kichina)
"He who does not interfere with others is the best leader."
Baada ya uchaguzi kwisha.
Mwambukusi atafanya kazi na Chadema? Au atamfata lissu Chauma?
Ni mimi wenu team Mbowe
Kwani mbogamboga mnafanya hivyo kwa wengine?Nelson Mandela - Alisisitiza heshima kwa uhuru wa watu wengine na kutoshinikiza maamuzi katika jamii au taasisi nyingine.