TANZIA Rais wa UAE Sheikh Khalifa Bin Zayed afariki Dunia, Rais Samia atuma Rambirambi

Alikuwa mtumiaji wa Cocaine na Heroin
 
Waislamu wote na wengine walio mkataa Yesu sehemu yao ni motoni milele.
Yupo na mtume wake motoni wanaungua now
 
Maziko tayari tarehe 14.05.2022. Poleni sana
 
Kwa hakika kifo kinatosha kuwa NASAHA..


Hata kaburi lake ameingia YEYE PEKEE NA SANDA YAKE na kuviacha vyoote alivyovichuma

MOLA MLEZI ATUJAALIE MWISHO MWEMA
 
Mmmmmhhhhhhh limetoka wapi hili?

Jamani tuacheni chuki
Chuki au ukweli??
Mtume Muhammad SAW yupo motoni kwa kuwa hakukiri Yesu kuwa mwana wa Mungu na alie mfia kwa dhambi zake. Hata huyo rais Kama alikufa kashikilia uislam , yupo motoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…