Rais wa Ufaransa: "Muundo wa usalama wa Ulaya lazima utoe 'guarantee' kwa usalama wa Urusi"

Rais wa Ufaransa: "Muundo wa usalama wa Ulaya lazima utoe 'guarantee' kwa usalama wa Urusi"

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
4,016
Reaction score
6,759
"Lazima tufikirie juu ya muundo wa usalama, ambao tutaishi kesho. Ninazungumzia, haswa, maneno ya Rais wa Urusi Vladimir Putin kwamba NATO inakaribia mipaka ya Urusi na kupeleka silaha ambazo zinaweza kutishia usalama wa Urusi," alisema.
Rais wa Ufaransa Emmanuel
6F0816DA-0FE6-4010-B912-C8F784CEC28B.jpeg


Muundo wa usalama wa baadaye wa Ulaya lazima ujumuishe dhamana kwa Urusi, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema katika mahojiano na TF1 Jumamosi.

"Lazima tufikirie juu ya muundo wa usalama, ambao tutaishi kesho. Ninazungumzia, haswa, kuhusu maneno ya Rais wa Urusi Vladimir Putin kwamba NATO inakaribia mipaka ya Urusi na kupeleka silaha ambazo zinaweza kutishia usalama wa Urusi," alisema. "Suala hili litakuwa sehemu ya majadiliano ya amani, na lazima tujitayarishe kwa kile kitakachokuja baada ya [mzozo wa Ukraine], na kufikiria jinsi tunavyoweza kulinda washirika wetu na, wakati huo huo, kuipatia Urusi dhamana ya usalama wake yenyewe. , mara pande zote zitakaporejea kwenye meza ya mazungumzo," kiongozi huyo wa Ufaransa alibainisha.

--
Nahisi somo linazidi kueleweka, EU inaonekana wamejiridhisha kwamba Moscow ni 'mfupa mgumu' na inahitaji njia za kistaarabu kudeal nayo na si ubabe.

Msikilize hapa Finland PM:
 
Huyu bwana sijawahi kumwamini, ni rais wa taifa kubwa lakini I see was very weak, si ajabu hata raia wake wa kawaida wanatishia kumpiga kofi
 
Huyu bwana sijawahi kumwamini, ni rais wa taifa kubwa lakini I see was very weak, si ajabu hata raia wake wa kawaida wanatishia kumpiga kofi
Uzuri ni kuwa katikati ya MZOZO WA UKRAINE NA URUSI

WANANCHI WA UFARANSA walimpigia kula nyingi kumchagua tena kipindi hicho ndio raisi pekee wa ulaya ukiacha ERDOGAN aliyekuwa akiongea naye PUTIN kwa simu mara kwa mara kutaka maridhiano

Inamaana km angekuwa DHAIFU kama unavyodhani wewe basi wananchi wasingemchagua
VITA anaitaka US kwa maslahi yake mataifa mengi ya ULAYA yanataka AMANI

Hvyo kuzungumza kile ambacho ni ukweli na kinakisi AMANI si udhaifu, Bali UZARENDO kwa nchi yako na WANANCHI wako kama si DUNIA.

URUSI sio threats kwa ULAYA achilia mbali kidunia Na URUSI km ngekuwa Anaipiga UKRAINE FULL WAR pamoja na kusaidiwa SIRAHA na USA basi UKRAINE ingekuwa MAJIVU kitambo sana.

Hvyo msijitowe AKIRI kusema URUSI kaishindwa UKRAINE. PUTIN anapigana na UKRAINE lakini HUMANITY bado ipo moyoni hali hii ndo inapelekea mpk leoTAIFA la UKRAINE bado lipo
 
Uzuri ni kuwa katikati ya MZOZO WA UKRAINE NA URUSI

WANANCHI WA UFARANSA walimpigia kula nyingi kumchagua tena kipindi hicho ndio raisi pekee wa ulaya ukiacha ERDOGAN aliyekuwa akiongea naye PUTIN kwa simu mara kwa mara kutaka maridhiano

Inamaana km angekuwa DHAIFU kama unavyodhani wewe basi wananchi wasingemchagua
VITA anaitaka US kwa maslahi yake mataifa mengi ya ULAYA yanataka AMANI

Hvyo kuzungumza kile ambacho ni ukweli na kinakisi AMANI si udhaifu, Bali UZARENDO kwa nchi yako na WANANCHI wako kama si DUNIA.

URUSI sio threats kwa ULAYA achilia mbali kidunia Na URUSI km ngekuwa Anaipiga UKRAINE FULL WAR pamoja na kusaidiwa SIRAHA na USA basi UKRAINE ingekuwa MAJIVU kitambo sana.

Hvyo msijitowe AKIRI kusema URUSI kaishindwa UKRAINE. PUTIN anapigana na UKRAINE lakini HUMANITY bado ipo moyoni hali hii ndo inapelekea mpk leoTAIFA la UKRAINE bado lipo
US anahaha kuwaaminisha kuwa Russia ni threat..

Leo Rais wa Baraza la Ulaya katema nyongo na kapiga kwenye mshono:

 
Back
Top Bottom