Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky akubali kuipa Marekani madini yake adimu ili iendelee kupata ulinzi

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky akubali kuipa Marekani madini yake adimu ili iendelee kupata ulinzi

Umesoma umeelewa kweli? Au ni chuki uliyokuwa nayo kwa Zelensky/upendo uliokuwa nao kwa Putin?
Mkuu sasa hapo nani hajaelewa kati yako na huyo jamaa?
Kabla ya Urusi kuivamia Ukraine Urusi ilitaka Ukraine na Marekani kuleta hakikisho la kisheria kuwa Ukraine haitajiunga na Nato lakini Urusi ikajibiwa majibu ya kejeli na dharau.

Mwisho wa siku Urusi imeivamia imechukua 20% ya ardhi, wamechukua %50 ya madini yote, asilimia 40 ya viwanda vyote na bado alicho alicho bakiza na chenyewe kimekuja kuchukuliwa na Marekani na bado Nato hatajiunga sasa hapo hiyo vita waliyo pigana ilikuwa na maana gani?

Wangekubali kusaini kutojiunga nato asingepoteza hivyo vyote.
Kiufupi Zelenskyy alicheza karata zake vibaya.
 
Zelensky na Boris Johnson ndo wameifikisha Ukraine hapa ilikofikia,

Johnson kamjaza Zelensky kukataa Dili la amani kule uturuki mwaka 2022,

Sahv Boris Johnson Baada ya kutumbuliwa uwaziri mkuu, Kawa mwandishi WA habari.

Nae anamnanga Zelensky kwenye magazeti
 
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy amekubali dili la Donald Trump la kuipa madini nchi ya Marekani, ili Marekani iweze kuendelea kuipa Ulinzi Ukraine.

Mkataba huo, ambao utaiwezesha Marekani kupata rasilimali za asili za Ukraine kwa kubadilishana na msaada wa Marekani katika vita vya Ukraine dhidi ya Russia, umeandaliwa kwa siku kadhaa.

Rais Donald Trump alisema Ijumaa kuwa utawala wake uko "karibu sana" kufikia makubaliano hayo, na Jumatatu alidokeza kuwa mkutano kati yake na Rais Volodymyr Zelenskyy unakaribia.

"Itakuwa makubaliano kuhusu madini adimu na mambo mengine kadhaa. Na, kama nilivyoelewa, anapenda kuja hapa ili kuusaini. Kwangu, hilo litakuwa jambo zuri," alisema Trump. "Nadhani kisha wanapaswa kupata idhini kutoka kwa baraza lao au chombo kingine cha maamuzi, lakini nina uhakika hilo litatokea."
==========================================================


Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy has agreed to a draft of a minerals deal with the White House on Tuesday, according to reports.

Reuters reported on Tuesday that the Ukrainian leader plans to travel to D.C. on Friday to meet with President Donald Trump after the officials agreed to the terms of the deal.

The pact, which would involve giving the U.S. access to natural resources in exchange for America’s support of Ukraine amid its war with Russia, was days in the making. Trump said on Friday that his administration was "pretty close" to striking a deal, and on Monday, he hinted that a meeting between him and Zelenskyy was imminent.

"It'll be a deal with rare earths and various other things. And, he would like to come, as I understand it, here to sign it. And that would be great with me," Trump said. "I think they then have to get it approved by their council or whoever might approve it, but I'm sure that will happen."

Source: Fox News
Ndugu Zelenskyy amekamatika
 
Baada ya makubaliano haya,

Ukraine tayar imeshasambaratika vipande

1. Eastern Ukraine, maeneo yote yenye viwanda,ardhi yenye rutuba na madini, yote yanaenda Kwa urusi, na keshasema HAYAWEZI KURUDI KAMWE.

2. KULE KYV, Ni makao makuu TU kama Dodoma, hakuna la maana la Kuendeleza uchumi WA nchi

3. KULE west, tayar marekani keshasema madini na mafuta yatakua yake kufidia gharama za vita.

4. Mpakani na Poland, Nae keshaanza kudai kipande chake.

Kiukweli ZELENSKY atalaaniwa na vizazi vyote vya ukraine
 
Hatimae tapeli kauza nchi imagine Ujinga aliokua nao huyu Kenge akatumika ili aipiganishe Russia..Watu wameuwawa kwa maelfu nchi imekatwa pande na limeendaaa....Imebomoka karibia asilimia 60....kuijenga ni mabilioni...Madini wamechukua...

Yale ya Kujinga NATO hayatawezekana tena maana Russia kagoma!!!
Na bado anatoka madarakani!!

Sasa kwanini.asingetii amri ya Russia mwanzo ili watu wasife..madini yao yasichukuliwe na zigo la madeni hilo wanalodaiwa lisiwepo!!! Mpuuzi mmoja anaharibu nchi
kenge kama nyie hamuwezi kuyaona makosa ya jambazi Putin aliyevamia taifa la watu ila mnaona makosa ya mwathiriwa aliyevamiwa na anajitahidi kujitetea
 
Wewe ulieelewa fafanua kwamba amesaini ili iweje madini yachukuliwe yakalipe deni la pesa alizopewa na USA huelewi nn hapo??? Au ndio kujizima akili.
Wapi wamesema amesaini madini yachukuliwe yakalipe deni la pesa? Acha mhemuko. Mpaka sasa terms & conditions za makubaliano hayo ambayo bado hayajasainiwa, hazijawekwa wazi. Kasome CNN kutoka link aliyoweka Mechanic.
 
Mkuu sasa hapo nani hajaelewa kati yako na huyo jamaa?
Kabla ya Urusi kuivamia Ukraine Urusi ilitaka Ukraine na Marekani kuleta hakikisho la kisheria kuwa Ukraine haitajiunga na Nato lakini Urusi ikajibiwa majibu ya kejeli na dharau.

Mwisho wa siku Urusi imeivamia imechukua 20% ya ardhi, wamechukua %50 ya madini yote, asilimia 40 ya viwanda vyote na bado alicho alicho bakiza na chenyewe kimekuja kuchukuliwa na Marekani na bado Nato hatajiunga sasa hapo hiyo vita waliyo pigana ilikuwa na maana gani?

Wangekubali kusaini kutojiunga nato asingepoteza hivyo vyote.
Kiufupi Zelenskyy alicheza karata zake vibaya.

Muigizaji hana lolote. Alifikiri kuongoza ni rahisi kama kuigiza. Mwanzoni alikuwa anarukaruka, eti hakuna kuchukua madini. Trump kamwambia Zele, sikiliza bwana mdogo, hivi unaelewa maana hakuna free lunch. Embu dondoka saini hapa
 
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy amekubali dili la Donald Trump la kuipa madini nchi ya Marekani, ili Marekani iweze kuendelea kuipa Ulinzi Ukraine.

Mkataba huo, ambao utaiwezesha Marekani kupata rasilimali za asili za Ukraine kwa kubadilishana na msaada wa Marekani katika vita vya Ukraine dhidi ya Russia, umeandaliwa kwa siku kadhaa.

Rais Donald Trump alisema Ijumaa kuwa utawala wake uko "karibu sana" kufikia makubaliano hayo, na Jumatatu alidokeza kuwa mkutano kati yake na Rais Volodymyr Zelenskyy unakaribia.

"Itakuwa makubaliano kuhusu madini adimu na mambo mengine kadhaa. Na, kama nilivyoelewa, anapenda kuja hapa ili kuusaini. Kwangu, hilo litakuwa jambo zuri," alisema Trump. "Nadhani kisha wanapaswa kupata idhini kutoka kwa baraza lao au chombo kingine cha maamuzi, lakini nina uhakika hilo litatokea."
==========================================================


Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy has agreed to a draft of a minerals deal with the White House on Tuesday, according to reports.

Reuters reported on Tuesday that the Ukrainian leader plans to travel to D.C. on Friday to meet with President Donald Trump after the officials agreed to the terms of the deal.

The pact, which would involve giving the U.S. access to natural resources in exchange for America’s support of Ukraine amid its war with Russia, was days in the making. Trump said on Friday that his administration was "pretty close" to striking a deal, and on Monday, he hinted that a meeting between him and Zelenskyy was imminent.

"It'll be a deal with rare earths and various other things. And, he would like to come, as I understand it, here to sign it. And that would be great with me," Trump said. "I think they then have to get it approved by their council or whoever might approve it, but I'm sure that will happen."

Source: Fox News
Tanzania hatupo cheap kihivyo kwa ARV tunaweza kabisa kujitengezea hata Ramadhani madabida alikuwa anatengeneza hapo Dar,kiwanda kilifungwa kwa figisu figisu za makundi ya ccm 2015
 
Zelensk hana akili ameitia hasara kubwa ukraine na itawagarimu maisha yao yote. Kumbe hata ulaya kuna wazungu wapumbavu.
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy amekubali dili la Donald Trump la kuipa madini nchi ya Marekani, ili Marekani iweze kuendelea kuipa Ulinzi Ukraine.

Mkataba huo, ambao utaiwezesha Marekani kupata rasilimali za asili za Ukraine kwa kubadilishana na msaada wa Marekani katika vita vya Ukraine dhidi ya Russia, umeandaliwa kwa siku kadhaa.

Rais Donald Trump alisema Ijumaa kuwa utawala wake uko "karibu sana" kufikia makubaliano hayo, na Jumatatu alidokeza kuwa mkutano kati yake na Rais Volodymyr Zelenskyy unakaribia.

"Itakuwa makubaliano kuhusu madini adimu na mambo mengine kadhaa. Na, kama nilivyoelewa, anapenda kuja hapa ili kuusaini. Kwangu, hilo litakuwa jambo zuri," alisema Trump. "Nadhani kisha wanapaswa kupata idhini kutoka kwa baraza lao au chombo kingine cha maamuzi, lakini nina uhakika hilo litatokea."
==========================================================


Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy has agreed to a draft of a minerals deal with the White House on Tuesday, according to reports.

Reuters reported on Tuesday that the Ukrainian leader plans to travel to D.C. on Friday to meet with President Donald Trump after the officials agreed to the terms of the deal.

The pact, which would involve giving the U.S. access to natural resources in exchange for America’s support of Ukraine amid its war with Russia, was days in the making. Trump said on Friday that his administration was "pretty close" to striking a deal, and on Monday, he hinted that a meeting between him and Zelenskyy was imminent.

"It'll be a deal with rare earths and various other things. And, he would like to come, as I understand it, here to sign it. And that would be great with me," Trump said. "I think they then have to get it approved by their council or whoever might approve it, but I'm sure that will happen."

Source: Fox News
 
hata sijui ulinzi gani, yeye anataka ulinzi badala ya kujenga nchi na uchumi? na ulinzi anaousema ni ulinzi dhidi ya urusi. jambo ambalo marekani hajawahi kuiwa mwaminifu kwa mtu. usimwamini marekani hata kama ameapa
Hizi security Guarantees anatakiwa asign na Jirani Yake Mrusi. Bado anarudia makosa yake yale yale ya kumuamini US.

Zelesky unataka kua ka demu
 
alooo ! kumbe kila kitu kipo planned kweli wasemavyo kwamba hakuna cha bure ni hivyo sasa kama wameweza kufanya hivyo kwa mti mbichi habari gani kwa mti mkavu .Kwa sera hizi za Trump mataifa mengi hasa ya ulimwengu wa tatu ya jiandae kwa mnyonyo.
Niliwahi kusema mahala hawa wakubwa wa huu Ulimwengu wanajua kila hatua ya hivi vita vyote vikubwa Ulimwenguni, sasa kaja Trump anawasainisha mikataba halafu mwingine anakuja kuongoza, kwakweli wanajua na wanajipanga kila uchao kwakunyonya kwa tusio na uwezo wa kujiamulia bila hisani.
 
Mkuu sasa hapo nani hajaelewa kati yako na huyo jamaa?
Kabla ya Urusi kuivamia Ukraine Urusi ilitaka Ukraine na Marekani kuleta hakikisho la kisheria kuwa Ukraine haitajiunga na Nato lakini Urusi ikajibiwa majibu ya kejeli na dharau.

Mwisho wa siku Urusi imeivamia imechukua 20% ya ardhi, wamechukua %50 ya madini yote, asilimia 40 ya viwanda vyote na bado alicho alicho bakiza na chenyewe kimekuja kuchukuliwa na Marekani na bado Nato hatajiunga sasa hapo hiyo vita waliyo pigana ilikuwa na maana gani?

Wangekubali kusaini kutojiunga nato asingepoteza hivyo vyote.
Kiufupi Zelenskyy alicheza karata zake vibaya.
Daah hapa ndio umefika mwisho wa kufikiri kwako..
 
Muigizaji hana lolote. Alifikiri kuongoza ni rahisi kama kuigiza. Mwanzoni alikuwa anarukaruka, eti hakuna kuchukua madini. Trump kamwambia Zele, sikiliza bwana mdogo, hivi unaelewa maana hakuna free lunch. Embu dondoka saini hapa
Zelenskyy sio mwana siasa ni muigizaji ambaye alipata bahati ya kuwa rais hivyo hakuwa na utashi mkubwa wa siasa.
Mwana siasa yeyote mahili huwa ni mtu anaye jua kuchunga mdomo wake ,na kuchangua maneno ya kuongea kulingana na wakati.
Kauli za Zelenskyy zilichangia pakubwa Urusi kuivamia Ukraine.
 
Ww mwenye fikra ndefu tuambie kulikuwa na haja gani ya zere kungangania kujiunga na Nato?
Pia jiulize mzee putin na familia yake yeye ni nani wa kumpangia mzee zelensky na familia yake aishije, ashirikiane na nani na asijiunge nani!!
 
Pia jiulize mzee putin na familia yake yeye ni nani wa kumpangia mzee zelensky na familia yake aishije, ashirikiane na nani na asijiunge nani!!
Wewe ni mchanga sana kwenye mambo haya. Hujui lolote kuhusu mambo ya geopolitics badala yake unaleta story za Buza. Ndio keshampangia sasa, haya bisha.
 
Zelensky na NATO ni wajanja sana, hapo tayari imekula kwa Russia, lengo la Russia ni US asizidi kusogea mpakani kwake ndo maana akapinga sana Ukraine asijiunge NATO ili US asizidi kumzingila, Ukraine kuwa chini ya Ulinzi wa US kimkataba ni kumfanya Russia asithubutu kurusha hata jiwe Ukraine make akakuwa amechokoza walinzi😄😄😄, na hawa walinzi wana uhuru wa kuleta dhana zao zozote za ulinzi hapo kwenye lindo lao, hapo moja kwa moja NATO iko imezidi kujitanua hadi Ukraine, US ndo NATO.
 
Wewe ni mchanga sana kwenye mambo haya. Hujui lolote kuhusu mambo ya geopolitics badala yake unaleta story za Buza. Ndio keshampangia sasa, haya bisha.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ndo zenu hizo, blah blah tu, jibu nilichouliza, kuleta blah blah tu hapa bila jibu ni ishara ya umbumbumbu wako.
 
Back
Top Bottom