Rais wa Urusi, Vladimir Putin 'Chupuchupu' kuuawa

Taarifa ya miezi mitatu iliyopita inatolewa leo na mtu mmoja tu tena ni ukrenian 😅 😅 😅 😅 😅
 
Huna taarifa kama Bush na kaloswakoswa kuuawa na jamaa mmoja raia wa Iraq au ndio ume-mute
 
Taarifa ya miezi mitatu iliyopita inatolewa leo na mtu mmoja tu tena ni ukrenian [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Alikaa nayo ameificha, kaitoa leo ili Warusi iwafikie vizuri [emoji16]
 
Huna taarifa kama Bush na kaloswakoswa kuuawa na jamaa mmoja raia wa Iraq au ndio ume-mute
Hiyo ni taarifa njema kwetu. FBI walimdaka jamaa kama kuku boleila tu[emoji23][emoji23], chezea FBI wewe.
 
An Islamic State sympathiser planned to murder former US President George W Bush but the plot was discovered by the FBI, US authorities have revealed.
The suspect, a resident of Ohio, allegedly sought to have Iraqi operatives smuggled into the US from Mexico for the operation.
He is now in custody and appeared at a federal court in Ohio on Tuesday.
The FBI used informants and electronic surveillance to foil his plan.
According to court documents, the suspect - identified as Shihab Ahmed Shihab, 52 - is an Iraqi national who has been in the US since 2020 and had a pending asylum application.



Hii habari hukuiona 😎😎
 
Sasa hao wa kwako wamefanikiwa, si bora huyo he was playing a solo mission kuliko mipango ya nchi kubuma
Hiyo ni taarifa njema kwetu. FBI walimdaka jamaa kama kuku boleila tu[emoji23][emoji23], chezea FBI wewe.
 
Nimekwambia nimeiona, FBI walimkamata kama kuku boleila kwa sasa yupo selo, miaka 30[emoji23]
 
[emoji3538][emoji3538][emoji3538]DPR regional police departments began work in Mariupol[emoji3538][emoji3538][emoji3538]
 
Hakuna cha propaganda hapa, huo ndo ukweli.
Maraisi wote wenye misimamo mikali na yenye tija kwa Nchi zao huwa ni watu wa kuwindwa sana. Unajua Fidel Castro aliekua raisi wa Cuba alinusulika na majaribio ya kuuwawa mara ngapi,?unajua John Pombe Magufuli na yeye alinusulika mara ngapi ? Orodha ni ndefu tu. Usiogope.
 
Ukraine. Putin hayuko salama tena.
Mnadanganyana! Putin mwenyewe ni Jasusi mmbobezi kwa nini asiwe salama wakati inteligensia yake ni ya uhakika?
Mkuu mashambulizi yanayoendelea hivi karibuni Ukraine,siyo muda mrefu Donbass inaangukia mikononi mwa majeshi ya Russia.
 
Rais wa Urusi Vladimir Putin alinusurika katika jaribio la mauaji muda mfupi baada ya kuanza kwa vita nchini Ukraine, afisa mkuu wa jeshi la Ukraine amesema
Nilipofika hapa nikajua ni Yale Yale ya kuku na Yai' nani kaanza kuonekana!!!
 
Hiyu mkuu wa upelelezi wa urine ajue ipo siki KGB watamtembelea hata kama ni miaka 50
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…