Rais wa Urusi, Vladimir Putin 'Chupuchupu' kuuawa

Kwa hiyo sshv mmeamua kuja na aina hii ya propaganda!!hii imebuma tafuta nyingine au kama vp niwe nawauzia propaganda
 
endelea kutulisha matango pori , endelea tunasoma
 
Hizi ni habari njema kwamba jaribio lilifeli kabisa!Hongera Russia kwakuwa na ulinzi imara Kwa Putin!
 
Ndio mana putini hubadilisha walinzi kila baada ya masaa kadhaa., kweli hofu imembamba
 
Sasa Jiwe naye ni mtu mwenye tija au alikuwa Dikteta uchwara [emoji28][emoji28]
Kwa jiwe nchi ilipigwa na kitu kizito kichwani. Shukuru Mungu kwa kuingilia kati
 
Jamaa Yuko ngangali akikagua Askari Majeruhi katika hospitali iliyoko Moscow!
 

Attachments

  • Facebook 725140301940740(1080p).mp4
    8.8 MB
Putin wauwe hao panya Magharibi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji123][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635]
 
Kwa sasa Putin inawezekana ndiye Rais anayeishi kwa wasiwasi mkubwa kuliko Marais wote wa nchi nyingine duniani.
Kwa muda mrefu haishi kwenye makazi yake ya kawaida, yuko mafichoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…