Rais wa wana-JamiiForums

Rais wa wana-JamiiForums

Ukipewa nafasi ya kuchagua mmoja wa wanachama humu awe Rais wetu,utamchagua nani na kwanini???...kumbuka huu UZI ni ...interesting
Mbona cjatajwa aisee!
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] Very interesting! [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Mm hawa watatu Mshana jr, Nyani Ngabu, The Boss
 
Nimeshangaa Wanawake hawapigiwi kura ya uraisi hata wa JF. 50/50 iko wapi au wanaogopa fursa. Wanawake mnaweza

Rais nampendekeza Niffah
 
Back
Top Bottom