TANZIA Rais wa Wanafunzi Ndaki ya Elimu UDOM afariki dunia

Pumzika kwa amani lkn pia kusema rais wa serikali ya wanafunzi UDOM sio sahihi, ni sawasawa na blogger mmoja kule Kenya aseme rais wa Tanzania mama Lwakatare aaga dunia. Kuna sehemu wameandika ndaki ya Elimu
 
Apumzike kwa amani

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…