Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo Rais wa federation, Ni wa college ya Education.Huyo sio Rais wa Federation, ni Rais wa kitivo Cha Elimu!! R.I.P
Typed Using KIDOLE
Hujui maana ya rais, yaonekana unajua linatumika kumtaja mkuu wa nchi, na kwa ushabiki tayari umewaza tayari cheo cha mkuu wa nchi kimeingiliwa.Pumzika kwa amani lkn pia kusema rais wa serikali ya wanafunzi UDOM sio sahihi, ni sawasawa na blogger mmoja kule Kenya aseme rais wa Tanzania mama Lwakatare aaga dunia. Kuna sehemu wameandika ndaki ya Elimu
Hali inatisha kwa kweli...Poleni sana wafiwa.
umesoma wapi wewePumzika kwa amani lkn pia kusema rais wa serikali ya wanafunzi UDOM sio sahihi, ni sawasawa na blogger mmoja kule Kenya aseme rais wa Tanzania mama Lwakatare aaga dunia. Kuna sehemu wameandika ndaki ya Elimu
Nasikia na wewe una mafua hapo ulaya!Vifo vimekuwa vingi hofu imetawala kwasababu hujui kesho itakuwa zamu yako ndugu yako ama wapendwa zako na huzuni kuzingua kutamalaki. Ni kumrudia Mungu tu hamna
Aiseee chalii yangu Behaviourist ninayo unajua tena hii kitu kuwa nayo ni sifa unawacha legacyumesoma wapi wewe
Wapi kwenye thread nimesema kufa kumeanza leo?Kufa kumeanza leo? Nyie chadema ndio maana mnaitwa nyumbu
soma nilichoandika kwanzaHujui maana ya rais, yaonekana unajua linatumika kumtaja mkuu wa nchi, na kwa ushabiki tayari umewaza tayari cheo cha mkuu wa nchi kimeingiliwa.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Sasa ulichoandika na Mimi Kuna tofauti gani Mkuu wangu
Mbona Kigogo alishapost zamani sana kabla ya JfTumsubiri kigogo atatu_update.