Dividend
JF-Expert Member
- Jan 15, 2017
- 2,102
- 3,343
Wewe wa wapi wewe, papai alina utomvu!Kwanza kwenye papai hakuna ute, halafu chemical reaction inatokeaje kwenye sampuli tofauti? Ukumbuke kipimo kimekua calibrated kupima specific sample zenye sifa ambazo kipimo itazigundua ndo ifanye kazi sahihi!?. Anyway nadhani hamna corona.
Kwahiyo wewe unaamini jana jamaa alikua anadanya taifa na ulimwengu kuwa hawakutest kupima vitu tofauti tofauti