Rais wa wataalamu wa maabara Yahya Mnung'a yupo mubashara Clouds 360 anazungumzia utafiti wa Rais Magufuli

Rais wa wataalamu wa maabara Yahya Mnung'a yupo mubashara Clouds 360 anazungumzia utafiti wa Rais Magufuli

Kwanza kwenye papai hakuna ute, halafu chemical reaction inatokeaje kwenye sampuli tofauti? Ukumbuke kipimo kimekua calibrated kupima specific sample zenye sifa ambazo kipimo itazigundua ndo ifanye kazi sahihi!?. Anyway nadhani hamna corona.
Wewe wa wapi wewe, papai alina utomvu!
Kwahiyo wewe unaamini jana jamaa alikua anadanya taifa na ulimwengu kuwa hawakutest kupima vitu tofauti tofauti
 
Basi ilitakiwa hicho kipimo kisilete majibu amabayo ni positive kwenye Hilo papai. Vinginevyo vina tataizo hivo vipimo.
Kama vinatambua ute ute tu,maana yake sampuli ambayo sio ute ilitakiwa visionyeshe majibu maana hakuna Cha kupima.
As far as I know sampuli yoyote maabara inapimika. Majibu sahihi inategemea na ubora wa vifaa ikiwa vigezo vingine vyote vipo kamili.

Sent using LEAGOO M12
Itakuwa mashine iligundua kwamba wameiwekea sampuli fake ili kuisanifu na kwa vile yenyewe ndiyo janja zaidi ikaamua kutoa hayo majibu fake ili kuwakomesha. Ngangari vs Ngunguri.
 
Kwa ninavyojua hakuna Corona ila ni wasiwasi wa watu tu




Napenda kujifukiza
 
T
Mnung'a anasema ule utafiti wa timu ya Rais Magufuli ulifanyika vizuri na kwa uhakika.

Mtaalamu huyu amesema baada ya kuongea na wataalamu mbalimbali duniani kufuatia utafiti huo wengi wamemueleza kuna tatizo la ubora wa vifaa hata katika nchi zao na hasa hivi vinavyotoka China.

Rais wa chama cha wataalamu wa maabara amewataka watanzania kutulia na kusubiri majibu ya uchunguzi wa tume ya Dr Mwigullu Nchemba.

Chanzo: Clouds Tv
Tume ya Nchemba! Itabidi wakubali kuwa scapegoats kuunga mkono anachotaka mkuu.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Itakuwa mashine iligundua kwamba wameiwekea sampuli fake ili kuisanifu na kwa vile yenyewe ndiyo janja zaidi ikaamua kutoa hayo majibu fake ili kuwakomesha. Ngangari vs Ngunguri.

Sent using LEAGOO M12
 
Mnung'a anasema ule utafiti wa timu ya Rais Magufuli ulifanyika vizuri na kwa uhakika.

Mtaalamu huyu amesema baada ya kuongea na wataalamu mbalimbali duniani kufuatia utafiti huo wengi wamemueleza kuna tatizo la ubora wa vifaa hata katika nchi zao na hasa hivi vinavyotoka China.

Rais wa chama cha wataalamu wa maabara amewataka watanzania kutulia na kusubiri majibu ya uchunguzi wa tume ya Dr Mwigullu Nchemba.

Chanzo: Clouds Tv
Majibu ya kipumbavu Sana, alikuwa wapi kuyaongea haya Hadi polisi wapivyogundua madudu? Eti vifaa vibovu Ina maana kwa taaluma yake hawezi gundua hii darubini Ni mbovu Hadi JPM agundue? Basi mpeni PhD ya pili, ovyo!
 
Back
Top Bottom