Rais wa Yanga atangaza atakavyo watambulisha Chama na Kibu

Rais wa Yanga atangaza atakavyo watambulisha Chama na Kibu

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Rais wa Yanga atangaza atakavyo watambulisha Chama na Kibu
Rais wa Yanga amesema watamtambulisha mchezaji mpya ambapo kwa taarifa za ndani ni kati ya Kibu au Chama kabla ya msimu huu kutamatika

Ameyasema hayo katika live ilikuwa katika page ya Instagram ya Ali Kamwe jana jioni ambapo wameacha maswali mengi kwa mashabiki wao na hata wapenzi wa soka nchini je ni mchezaji gani kati ya hawa wawili atatambulishwa ili kutumika katika msimu ujao wa 2024/2025

Wamesema wataweka picha kubwa kwenye jengo kubwa maeneo ya posta ndiyo itakuwa utambulisho wa mchezaji huyo
Vipi mdau na nani anakuja yanga?
 
Rais wa Yanga atangaza atakavyo watambulisha Chama na Kibu
Rais wa Yanga amesema watamtambulisha mchezaji mpya ambapo kwa taarifa za ndani ni kati ya Kibu au Chama kabla ya msimu huu kutamatika

Ameyasema hayo katika live ilikuwa katika page ya Instagram ya Ali Kamwe jana jioni ambapo wameacha maswali mengi kwa mashabiki wao na hata wapenzi wa soka nchini je ni mchezaji gani kati ya hawa wawili atatambulishwa ili kutumika katika msimu ujao wa 2024/2025

Wamesema wataweka picha kubwa kwenye jengo kubwa maeneo ya posta ndiyo itakuwa utambulisho wa mchezaji huyo
Vipi mdau na nani anakuja yanga?
wewe ndio hujui kabisa,chama na kibu hawako kwenye rada ya simba,ni mchezaji mmoja,anatoka kule kwa mla ugali na sukari
 
Chama kwa sasa anachezea jina tu. Ila ukija uwanjani, hana maajabu kivile. Na Kibu naye ndiyo huyo tena! Ni kukimbia tu uwanjani, huku madhara yake yakiwa hayaonekani.
 
Back
Top Bottom