Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Rais wa Yanga na Mwenyekiti wa vilabu Barani Afrika, Eng.Hersi Said amealikwa kwenye Mkutano mkubwa wa vilabu Barani Ulaya [ECA], unaofanyika katika Mji wa Athen, Ugiriki.
Hersi amepata Mwaliko huu kutoka kwa Mwenyekiti wa ECA na Rais wa PSG, Nasser Al-Khelaifi.
Pia, Soma:
=> CAF Yapendekeza Hersi Said apate posho ya Milioni 136.5 kwa mwaka kama Mwenyekiti wa Chama cha Vilabu vya Afrika
=> Eng. Hersi Said anaingia moja kwa moja kwenye Vikao vya Kamati ya Utendaji ya Marais wa CAF kwa wadhifa wake mpya!
=> CAF Yapendekeza Hersi Said apate posho ya Milioni 136.5 kwa mwaka kama Mwenyekiti wa Chama cha Vilabu vya Afrika
=> Eng. Hersi Said anaingia moja kwa moja kwenye Vikao vya Kamati ya Utendaji ya Marais wa CAF kwa wadhifa wake mpya!