Rais wa Yanga Eng. Hersi Said Aalikwa Mkutano wa ECA nchini Ugiriki

Rais wa Yanga Eng. Hersi Said Aalikwa Mkutano wa ECA nchini Ugiriki

Rais wa Yanga na Mwenyekiti wa vilabu Barani Afrika, Eng.Hersi Said amealikwa kwenye Mkutano mkubwa wa vilabu Barani Ulaya [ECA], unaofanyika katika Mji wa Athen, Ugiriki.
Hersi amepata Mwaliko huu kutoka kwa Mwenyekiti wa ECA na Rais wa PSG, Nasser Al-Khelaifi.
Pia, Soma:
=> CAF Yapendekeza Hersi Said apate posho ya Milioni 136.5 kwa mwaka kama Mwenyekiti wa Chama cha Vilabu vya Afrika
=> Eng. Hersi Said anaingia moja kwa moja kwenye Vikao vya Kamati ya Utendaji ya Marais wa CAF kwa wadhifa wake mpya!
Hivi hii mikutano ina manufaa au elimu gani ktk kuukuza na kuitangaza ligi yetu? na huyo kiongozi anae kwenda huko arudipo kuna nini atakileta kwa manufaa ya vilabu vyetu? najaribu kuwaza tu.
 
Back
Top Bottom