Rais wa Yanga Hersi na Msemaji Kamwe wana Yanga SC, tunauliza tukiwa Tunisia tusimame Kushangilia dakika ya ngapi?

Rais wa Yanga Hersi na Msemaji Kamwe wana Yanga SC, tunauliza tukiwa Tunisia tusimame Kushangilia dakika ya ngapi?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nimehakikishiwa kuwa Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said na Msemaji wa Yanga SC Ally Kamwe nyote mnanisoma na kunifuatilia Kutwa ( 24/7 ) GENTAMYCINE hapa JamiiForums hivyo natumai mtanijibu mwana Yanga SC Mwenzenu hili Swali langu.

Cc: Ulimakafu
 
Nimehakikishiwa kuwa Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said na Msemaji wa Yanga SC Ally Kamwe nyote mnanisoma na kunifuatilia Kutwa ( 24/7 ) GENTAMYCINE hapa JamiiForums hivyo natumai mtanijibu mwana Yanga SC Mwenzenu hili Swali langu.

Cc: Ulimakafu
Kikianza kipindi cha pili.
 
Yanga watachomoa bao dakika ya 90'
Waarabu wa Tunisia na Tanzania hawata amini,goli la Fei Toto,umbali wa maguu 40 hivi.
Nimekaa pale👉
 
Yanga watachomoa bao dakika ya 90'
Waarabu hawata amini,goli la Fei Toto,umbali wa maguu 40 hivi.
Nimekaa pale👉
Maruhani huwa hayapandi ndege ujue. Labda bao la bafuni
 
1667655892335.png
 
Back
Top Bottom