Rais wa zamani wa Comoro afungwa maisha kwa kuuza 'Passport' kwa wasio raia

Rais wa zamani wa Comoro afungwa maisha kwa kuuza 'Passport' kwa wasio raia

I've worked with those bedui people or Bidoon (stateless) in one of the Gulf countries [emoji848]

Hawa bidoon walikuwa wakiishi mipakani wakichunga mbuzi zao na ngamia huko uarabuni
Maisha yao ni kutangatanga kama wamasai tu

Wengine wakabahatika kupewa kazi jeshini kama Kuwait na Saudia na Emirates lakini hawapewi uraia bali wanapewa vitambulisho tu
Yaani mimi nilikuwa bora kuliko wao maana naweza kusafiri ila wao hawawezi kwenda popote zaidi ya nchi walipo ndugu zao pia kama Syria na Iraq

Hawana madhara yoyote kihivyo ila Saddam alipovamia Kuwait wengi wao walirudi Iraq na Syria bila kupigana against Kuwait kwa sababu ndio waliowalea miaka nenda rudi

Ila swali je huyu Rais aliwezaje kupata uwezo wa kuwaaminisha kuwapa passports hao Stateless?
We ni zaidi ya Generali mzee

Ushapigana vita vingi

Ova
 
We ni zaidi ya Generali mzee

Ushapigana vita vingi

Ova
Namshukuru sana Mola
Yaani wakati mwingine badala ya kuangalia TV au kusoma kitabu naamua kuoekua passports zangu zilizoisha zamani na kukumbuka nilikopita na mambo niliyoyaona duniani

Mengine yanatisha, mengine yanahuzunisha na mengine yanafurahisha
Ni filamu tosha
Asante mkuu
 
Umenikumbusha kesi ya mbowe na mashahidi wasiojua PGO
 
I've worked with those bedui people or Bidoon (stateless) in one of the Gulf countries [emoji848]

Hawa bidoon walikuwa wakiishi mipakani wakichunga mbuzi zao na ngamia huko uarabuni
Maisha yao ni kutangatanga kama wamasai tu

Wengine wakabahatika kupewa kazi jeshini kama Kuwait na Saudia na Emirates lakini hawapewi uraia bali wanapewa vitambulisho tu. Yaani mimi nilikuwa bora kuliko wao maana naweza kusafiri ila wao hawawezi kwenda popote zaidi ya nchi walipo ndugu zao pia kama Syria na Iraq.

Hawana madhara yoyote kihivyo ila Saddam alipovamia Kuwait wengi wao walirudi Iraq na Syria bila kupigana against Kuwait kwa sababu ndio waliowalea miaka nenda rudi.

Ila swali je huyu Rais aliwezaje kupata uwezo wa kuwaaminisha kuwapa passports hao Stateless

That came in my mind when I was reading this thread. Nawajua baadhi ya waliofaidikana hii scheme including some Zanzibaris.

By the way, kuuza uraia wa nchi hili sio geni hata some EU countries wanauza uraia mpaka leo hii na Warusi wengi wamenunua uraia wa EU.
 
Back
Top Bottom