Rais wa Zamani wa Marekani, Donald Trump awekwa kizuizini

Rais wa Zamani wa Marekani, Donald Trump awekwa kizuizini

Donald Trump has been placed under arrest at a courthouse in Lower Manhattan.

The former US president is not wearing handcuffs but will have his fingerprints taken.

After processing, Trump will attend an arraignment hearing where criminal charges will be read out

We still don’t know the exact charges he faces - but they relate to money paid to buy the silence of former porn star Stormy Daniels.

US Congresswoman Marjorie Taylor Green earlier addressed Donald Trump's supporters in front of the courthouse.

Trump - running for the presidency in 2024 - will be released on bail and plans to return to Florida later.

BBC

========

View attachment 2576636

Donald Trump amewekwa chini ya ulinzi katika mahakama moja huko Lower Manhattan

Rais huyo wa zamani wa Marekani hajavaa pingu lakini atachukuliwa alama za vidole.

Baada ya kushughulikiwa, Trump atahudhuria kikao cha mashtaka ambapo mashtaka ya jinai yatasomwa.

Bado hatujui mashtaka anayokabiliwa nayo - lakini yanahusiana na pesa zilizolipwa kununua ukimya wa nyota wa zamani wa ponografia Stormy Daniels.

Mbunge wa Marekani Marjorie Taylor Green awali aliwahutubia wafuasi wa Donald Trump mbele ya mahakama

Trump - anayewania kiti cha urais 2024 - ataachiliwa kwa dhamana na anapanga kurejea Florida baadaye.

Chanzo
Kwa upande wangu naamini hizi ni figisu za siasa kama Africa tu

Ila kwa ujinga wa baadhi yetu ngozi nyeusi watasema hii ni haki tu inatendeka.

Huyu kabla hajajiingiza kwenye siasa wala haya yalikuwa hayamkuti sana

Baada tu yakuanza kugombea uraisi ndio mambo yamekuwa mengi akichafuliwa kwa kila namna huku wasichojua ndio wanamsaidia katika race yake.

Na kwasasa alipoonesha tu nia ya dhati ya kurudi kugombea uraisi ndio figisu za wazi zimeanza.
 
Nami GENTAMYCINE natamani sana Mharibifu Mmoja wa 2005 hadi 2015 nae akamatwe upesi akijumuishwa Mkewe Kisauti na Mwanae Kidoti ili Sheria ifanye yake na Tuheshimiane.
Yani kweli Kikwete angekamatwa na kuwekwa ndani kwa ufisadi ingekuwa safi sana
 
Kwa upande wangu naamini hizi ni figisu za siasa kama Africa tu

Ila kwa ujinga wa baadhi yetu ngozi nyeusi watasema hii ni haki tu inatendeka.

Huyu kabla hajajiingiza kwenye siasa wala haya yalikuwa hayamkuti sana

Baada tu yakuanza kugombea uraisi ndio mambo yamekuwa mengi akichafuliwa kwa kila namna huku wasichojua ndio wanamsaidia katika race yake.

Na kwasasa alipoonesha tu nia ya dhati ya kurudi kugombea uraisi ndio figisu za wazi zimeanza.
Wazungu hawana ujinga huu ndo maana wanaitendea haki urusi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nami GENTAMYCINE natamani sana Mharibifu Mmoja wa 2005 hadi 2015 nae akamatwe upesi akijumuishwa Mkewe Kisauti na Mwanae Kidoti ili Sheria ifanye yake na Tuheshimiane.
Mi nadhani tuanze pale magharibi mwa mto 'akagera' kuna yule jamaa mrefu mwembaba anayetawala kimabavu zaidi ya miongo miwili kwa mashitaka yafuatayo:
1. Kutawala kimabavu na kuminya demokrasia.
2. Kuwabambikizia kesi na kuwafunga ama kuwaua wapinzani wake kisiasa.
3. Kuchochea mauaji ya kimbari (genocide) kwa mauaji ya Rais Habyarimana.
4. Mauaji ya kamanda Fred Rwigyema kwa uroho wa madaraka.
5. Kuendesha uporaji na mauji DRC
 
Nami GENTAMYCINE natamani sana Mharibifu Mmoja wa 2005 hadi 2015 nae akamatwe upesi akijumuishwa Mkewe Kisauti na Mwanae Kidoti ili Sheria ifanye yake na Tuheshimiane.
Ila mwezio akishachomoka yupo kwenye resort yake hivi sasa🤔
 
Katika uongozi wake ndio miaka ambayo marekani haijajihusisha na vita na umwagaji damu sana nchi za uarabuni na afrika
Alitumia largest conventional bomb huko kwenye mapango ya taleban mpaka akasababisha tetemeko, na vip kuhusu general wa Iran aliyeuliwa. In short Trump is amagedon
 
Nami GENTAMYCINE natamani sana Mharibifu Mmoja wa 2005 hadi 2015 nae akamatwe upesi akijumuishwa Mkewe Kisauti na Mwanae Kidoti ili Sheria ifanye yake na Tuheshimiane.
Kwa sheria za Tz Kikwete, mkewe na rizwan hawawezi kukamatwa.
 
Nina jamaa yangu ashaukwaa uraia wa huko hampendi trump anasema anamashtaka mengi balaa na mabaya kuliko hili. Hapa ni mwanzo tu huyu mzee aombee awe rais tena la sivyo anafia jela
Aliyajuane mashtaka wakati waandishi wa habari hawakuyajua hadi alipotoka mahakamani?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Donald Trump has been placed under arrest at a courthouse in Lower Manhattan.

The former US president is not wearing handcuffs but will have his fingerprints taken.

After processing, Trump will attend an arraignment hearing where criminal charges will be read out

We still don’t know the exact charges he faces - but they relate to money paid to buy the silence of former porn star Stormy Daniels.

US Congresswoman Marjorie Taylor Green earlier addressed Donald Trump's supporters in front of the courthouse.

Trump - running for the presidency in 2024 - will be released on bail and plans to return to Florida later.

BBC

========

View attachment 2576636

Donald Trump amewekwa chini ya ulinzi katika mahakama moja huko Lower Manhattan

Rais huyo wa zamani wa Marekani hajavaa pingu lakini atachukuliwa alama za vidole.

Baada ya kushughulikiwa, Trump atahudhuria kikao cha mashtaka ambapo mashtaka ya jinai yatasomwa.

Bado hatujui mashtaka anayokabiliwa nayo - lakini yanahusiana na pesa zilizolipwa kununua ukimya wa nyota wa zamani wa ponografia Stormy Daniels.

Mbunge wa Marekani Marjorie Taylor Green awali aliwahutubia wafuasi wa Donald Trump mbele ya mahakama

Trump - anayewania kiti cha urais 2024 - ataachiliwa kwa dhamana na anapanga kurejea Florida baadaye.

Chanzo
Si angekimbilia Russia 🇷🇺 kwa rafiki yake?
 
Wazungu hawana ujinga huu ndo maana wanaitendea haki urusi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwako wewe wazungu unawaona kama MUNGU hawana mapungufu au sio.

Huyu Trump mbona asipoonesha nia ya kugombea hizo shutma hazifanyiwi kazi ila tu akiingia kwenye siasa inaanza figisu.

Kwahyo Marekani usipojihusisha na siasa hata kama una makosa unaweza usifikishwe mahakamani ila ukijihusisha na wakaona wewe ni hatari kwao mahakama inakuhusu au sio.
 
Nina jamaa yangu ashaukwaa uraia wa huko hampendi trump anasema anamashtaka mengi balaa na mabaya kuliko hili. Hapa ni mwanzo tu huyu mzee aombee awe rais tena la sivyo anafia jela

Trump atawanyoosha tu.
 
He is very dangerous person in whole world.

Trump ndio muwasha kiberiti vita ya tatu.


Na Amerika ikiingia kwenye civil war the worst will happen for everyone.

Ngonjera tu. Mbona alikuwa Rais Vita haikutokea. Acheni vitisho.
 
Back
Top Bottom