TANZIA Rais wa zamani wa Pakistan, Pervez Musharraf afariki akiwa Dubai, mwili wake kurejeshwa nyumbani

TANZIA Rais wa zamani wa Pakistan, Pervez Musharraf afariki akiwa Dubai, mwili wake kurejeshwa nyumbani

Acha uongo bhana...... Pakistan Taliban (Ttp) ndio walimuua Bhuto.
Jitahidi kufuatilia mambo kwa kina mzee baba.

Unajua uhusiano kati ya Bi Benazir Bhutto na Musharraf ulivyokuwa kabla ya Bhutto kurudi Pakistan mwaka 2007 ulikuwaje?

Fuatilia vizuri mwenendo wa kesi ya mauaji ya Benaziri Bhutto utapata jibu
 
Iliniuma sana huyu dada alipo kuwa anakiendea kifo chake kutoka ughaibuni. Watu walimwambia asiende si salama lakini hakuelewa. Musharaf aliua dada huyu asiye na hata chembe ya kujitetea mikononi. Charlie champlin aliwah onya 'the hate of man will path and dictators die... the power they took from the people will remain to the people.. so long as person die... rebarty will never perish!!
Jitahidi kufuatilia mambo kwa kina mzee baba.

Unajua uhusiano kati ya Bi Benazir Bhutto na Musharraf ulivyokuwa kabla ya Bhutto kurudi Pakistan mwaka 2007 ulikuwaje?

Fuatilia vizuri mwenendo wa kesi ya mauaji ya Benaziri Bhutto utapata jibui
 
Iliniuma sana huyu dada alipo kuwa anakiendea kifo chake kutoka ughaibuni. Watu walimwambia asiende si salama lakini hakuelewa. Musharaf aliua dada huyu asiye na hata chembe ya kujitetea mikononi. Charlie champlin aliwah onya 'the hate of man will path and dictators die... the power they took from the people will remain to the people.. so long as person die... rebarty will never perish!!
Waliosema siasa ni mchezo mchafu hawakukosea
 
Jitahidi kufuatilia mambo kwa kina mzee baba.

Unajua uhusiano kati ya Bi Benazir Bhutto na Musharraf ulivyokuwa kabla ya Bhutto kurudi Pakistan mwaka 2007 ulikuwaje?

Fuatilia vizuri mwenendo wa kesi ya mauaji ya Benaziri Bhutto utapata jibu
Musharraf hajawahi kukutwa na hatia ya kuhusika na yale mauaji hata uchunguzi wa UN ulihitimisha wahusika ni Pakistan Taliban (Ttp).

Musharraf alilaumiwa kwa kutompa Bhutto ulinzi wa kutosha hivyo Ttp walitumia huo mwanya kumuua.
 
Musharraf hajawahi kukutwa na hatia ya kuhusika na yale mauaji hata uchunguzi wa UN ulihitimisha wahusika ni Pakistan Taliban (Ttp).

Musharraf alilaumiwa kwa kutompa Bhutto ulinzi wa kutosha hivyo Ttp walitumia huo mwanya kumuua.
Endelea kutafiti zaidi
 
Back
Top Bottom