Rais wa Zambia aonya majaji wasitumbukize nchi kwenye sintofahamu kama Kenya

Rais wa Zambia aonya majaji wasitumbukize nchi kwenye sintofahamu kama Kenya

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Amewaonya dhidi ya kutafuta umaarufu utakaoishia kuitumbukiza nchi yao kwenye machafuko na vurugu, na kwamba wasiige Kenya.
Hii ameisema baada ya kesi kupelekwa mahakamani ya kumzuia kugombea urais tena.

----------------------------------------------------------------

LUSAKA

President Edgar Lungu has warned Zambia's judges against blocking him from running in 2021 elections, saying a judicial intervention like that in Kenya could plunge the country into chaos.

Lungu is expected to contest the 2021 race but may face a legal challenge from opposition parties which claim it would be unconstitutional as he has already served two terms — the maximum permitted by law.

"Don't become a copycat and think that you are a hero if you plunge this country into chaos," Lungu told supporters at an event in Solwezi, north west Zambia, that was broadcast on state radio late Thursday.

INTIMIDATION

"I want to close by saying that those people who don't like peace and freedom will say 'President Lungu is intimidating the courts of law' — I am not intimidating the judiciary.

"I am just warning you because I have information that some of you want to be adventurous, your adventure should not plunge us into chaos please."

The warning comes after Kenya was rocked by two months of political drama and acrimony, triggered by the Supreme Court's decision to overturn the presidential election in August over widespread irregularities.

If Lungu formally registers' his candidacy to contest 2021's polls then opposition parties could seek to have the bid ruled illegal by the constitutional court.

TWO TERMS

The country's constitution says that a president can serve only two terms of five years.

Lungu, who became president in January 2015 after the death of Michael Sata, was controversially re-elected in 2016 but it remains unclear whether that would count as two terms under the law.

"I want to make it very clear. People are saying Zambian courts should emulate Kenyan courts," said Lungu.

"People are saying Zambian courts should be brave and make decisions which are in the interest of the people — but look at what's happening in Kenya now.

"Whether I am eligible to stand or not in 2021 should not be dependent on the case in Kenya."

Don’t copy Kenya, Zambia president warns judges
 
Huyu atatafsiri ''two terms'' kama alivyofanya Nkurunzinza. Mwafrica ukishamuonjesha urais tu, kumtoa mpaka lije grader.
 
"Whether I am eligible to stand or not in 2021 should not be dependent on the case in Kenya."


I like the way he concluded. Kenya can not be a case study for constitution and democracy in general.
 
miafrika bana...those judges should not be intimidated by this fool...you already served for two terms...shida nini tena?
 
Mchuzi wa Kenya umekuwa na wapishi wengi. Ndani mnaelelwa methali hii.
 
"Whether I am eligible to stand or not in 2021 should not be dependent on the case in Kenya."


I like the way he concluded. Kenya can not be a case study for constitution and democracy in general.
yes.... but we can teach LDC countries like Zambia and Tanzania...
 
"Whether I am eligible to stand or not in 2021 should not be dependent on the case in Kenya."


I like the way he concluded. Kenya can not be a case study for constitution and democracy in general.

Mara nyingi huwa nakuona ukinukuu sheria na kunadika andika vifungu hadi nikashuku utakua wakili, lakini kwa kauli yako hii, ni wazi wewe ni uchwara fulani hapo Tandale.
Rais wa Zambia anawababisha majaji kwamba wasisimamie sheria kama ilivyo Kenya.
 
Mara nyingi huwa nakuona ukinukuu sheria na kunadika andika vifungu hadi nikashuku utakua wakili, lakini kwa kauli yako hii, ni wazi wewe ni uchwara fulani hapo Tandale.
Rais wa Zambia anawababisha majaji kwamba wasisimamie sheria kama ilivyo Kenya.

ahaaa haaa haaa mdomo mali yako, sitakuzuia wala kukupangia kitu cha kuongea.
 
Back
Top Bottom