ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #21
Huyo huyoHv huyu c ndo yule wa chama pinzani aliyeshinda urais? Na Chadema walimsifia sana na kuwaambia ccm kuondoka madarakani ni jambo la muda tuu?
Demokrasia ya nchi za Afrika ni ile ile tuu ila utofauti ni maeneo.
Lucas anaumwa....msamehe tuHivi gharama za kushabikia CCM ndio kubwa kiasi hiki?
Yaani kujifanya mwehu kabisa!
Pole sana ndugu yangu.
NukuuHata mimi siwezi kukubali kabisa kuona eti CCM inataka kuwaachia CHADEMA Nchi.wakati najuwa wakija kuongoza watawatesa sana watanzania na kuipasua kabisa Nchi yetu. CCM kamwe na katu hatuwezi wapa CHADEMA Nchi hata ingekuwaje.Maana Watanzania hawawezi kubali jambo hilo kufanyika na kutokea
Kama zile 4R, R stands for...!Ukishaona Rais ni vuvuzela ujue ni sawa na empty set 😁😁
Ila japanese wananiboa knoma mana Unakuta video zao pale kwenye vikojoleo kugusana kuna blurJAPANESE UNCENSORED
BLACK
EBONY
INTERRACIAL
PAWG
MISSIONARY (KIFO CHA MENDE)
RIDING
COW GIRL
CUCKOLD
LATINA
CASTING
BDSM
MILF
MATURE
GRANNY
TEEN (18+)
OLD AND YOUNG
INDIAN
BRAZILIAN
ASIAN
MONEY
PUBLIC
FETISH
GANGBANG
BBW
SBBW
FAT
SKINNY
Nyau wewee
Naona mbwa zinabweka sana,so sadHata mimi siwezi kukubali kabisa kuona eti CCM inataka kuwaachia CHADEMA Nchi.wakati najuwa wakija kuongoza watawatesa sana watanzania na kuipasua kabisa Nchi yetu. CCM kamwe na katu hatuwezi wapa CHADEMA Nchi hata ingekuwaje.Maana Watanzania hawawezi kubali jambo hilo kufanyika na kutokea
Inasikitisha sana.Lucas anaumwa....msamehe tu
HahaaInasikitisha sana.
Si bora nikalime tu.
Yaani nijifanye mwehu kabisa kisa kutafuta nafasi za kisiasa!
Kama anatumia dola kuwashughulikia watu wenye maoni kinzani, basi atatumia dola hiyo hiyo kuhakikisha anashinda uchaguzi ujaoBilashaka, ana uwazekano mkubwa mno, kua miongoni mwa viongozi wakuu wa nchi Africa , kuhudumu muhula moja pekee kikatiba na anawakilisha ubovu wa wapinzani kutwaa serikali 🐒
Chief Hangaya na 4RsWala sio yeye tuu ,fuatilia hata Moja ambae utakuta anaishi aloyokuwa anayaponga na Kuhubiri ,ukimpata nitag nikupe 100k
Alimshinda mtangulizi wake kwakua alikua akifanya sawa sawa na ulivyo eleza..Kama anatumia dola kuwashughulikia watu wenye maoni kinzani, basi atatumia dola hiyo hiyo kuhakikisha anashinda uchaguzi ujao
Shahawa nyingine heri zingemwagwa nje tuRais wa Zambia bwana Hajainde Hichilema amewasimamisha kazi Majaji 3 wa mahakama kuu Kwa madai ya mwenendo usiofaa na kusababishia lawama za Serikali kuingilia mhimili wa mahakama.
Majaji waliosimamishwa walikuwa Watoe Hukumu ya kama Rais wa Zamani bwana Edger Rungu aruhusiwe kugombea au hapana.
Huyu bwana Hichilema ndio Huwa anatokewa mfano kama role model wa Chadema ila wanasahau kwamba alikuwa anajinadi ni Mwanademokrasia kama wao ila ameshindwa kusimamia Demokrasia na Sasa anatumia vyombo vya Dola kuhakikisha anasalia madarakani.👇👇
View: https://x.com/BBCAfrica/status/1838607218733646272?t=UlsfHQwGF61G7AOHRCp8vQ&s=19
My Take
Madaraka ni matamu asali ikasome.
Ni hivi CCM msije kurogwa eti kuwaaachia madaraka Machadema mkidhani watakuja kusimamia maneno wanayosema,mtajua hamjui.
Hakuna mwanasiasa hata mmja ambae anasimamiaga anayosema,Huwa ni walaghai na mbaya zaidi unakuta majiti manyumbu wanaenda kumpigania mwanasiasa bila yeye kunufaika.
Watu wa hivyo Polisi ikiwavunja miguu ni sawa siwezi hata kuwapa pole maana hawana akili.
Mimi Niko wazi siwezi ku sympathise na mwanasiasa hata muuane hainihusu Kila mtu ashinde mechi zake.
#SSH# Anatosha na chenji inabaki ,🇹🇿 inae Hadi 2030.
Alışıfiwa sana humu kama mwanadomokrasiaRais wa Zambia bwana Hajainde Hichilema amewasimamisha kazi Majaji 3 wa mahakama kuu Kwa madai ya mwenendo usiofaa na kusababishia lawama za Serikali kuingilia mhimili wa mahakama.
Majaji waliosimamishwa walikuwa Watoe Hukumu ya kama Rais wa Zamani bwana Edger Rungu aruhusiwe kugombea au hapana.
Huyu bwana Hichilema ndio Huwa anatokewa mfano kama role model wa Chadema ila wanasahau kwamba alikuwa anajinadi ni Mwanademokrasia kama wao ila ameshindwa kusimamia Demokrasia na Sasa anatumia vyombo vya Dola kuhakikisha anasalia madarakani.👇👇
View: https://x.com/BBCAfrica/status/1838607218733646272?t=UlsfHQwGF61G7AOHRCp8vQ&s=19
My Take
Madaraka ni matamu asali ikasome.
Ni hivi CCM msije kurogwa eti kuwaaachia madaraka Machadema mkidhani watakuja kusimamia maneno wanayosema,mtajua hamjui.
Hakuna mwanasiasa hata mmja ambae anasimamiaga anayosema,Huwa ni walaghai na mbaya zaidi unakuta majiti manyumbu wanaenda kumpigania mwanasiasa bila yeye kunufaika.
Watu wa hivyo Polisi ikiwavunja miguu ni sawa siwezi hata kuwapa pole maana hawana akili.
Mimi Niko wazi siwezi ku sympathise na mwanasiasa hata muuane hainihusu Kila mtu ashinde mechi zake.
#SSH# Anatosha na chenji inabaki ,🇹🇿 inae Hadi 2030.
Hichilema ni mbowe aliyetoboaHivi gharama za kushabikia CCM ndio kubwa kiasi hiki?
Yaani kujifanya mwehu kabisa!
Pole sana ndugu yangu.
Nchi hii sio ya CCM wala CHADEMA, wala CUF.Nchi hii ni ya watanzania wote. It means watu walioko CCM na wengine CHADEMA wanaweza wakatengeneza hata chama kipya kikaitwa lets say UPENDO..kikaja na sera mbadala, zinazoendana na nyakati hizi na changamoto zilizopo..tukakichagua. Tukiona kinashindwa tunakitoa..tunaweka kingine...suala sio CCM au CHADEMA - suala ni maendeleo yetu na uchaguzi wa huru na haki. Kwani KANU, ANC ziko wapi, zipo?, zina nguvu kama zamani? Je Kenya hawaishi, South Africa hawaishi??Au tunawazidi nini cha ziada. Tuweke utaratibu wa anybody mwenye kipaji cha kutuongoza, vision, akili atuongoze..CCM sio katiba ya nchi hii..watu wengine pia wanaweza ongoza vizuri tu.Hata mimi siwezi kukubali kabisa kuona eti CCM inataka kuwaachia CHADEMA Nchi.wakati najuwa wakija kuongoza watawatesa sana watanzania na kuipasua kabisa Nchi yetu. CCM kamwe na katu hatuwezi wapa CHADEMA Nchi hata ingekuwaje.Maana Watanzania hawawezi kubali jambo hilo kufanyika na kutokea
Hapana afuate katiba asiogope sanduku la kuraAn
Anachokifanya ni sahihi Kwa sababu edga lungu alipokuwa rais alimtesa sana jamaa hata akampigisha mago live so hii ndo kile tunacho kiita UBA... UBA.. UBA... UBAYA UBWE... UBWE... UBWE... UBWELA!