Yawiza sana Hii ndo Dunia MPYAA....Demokrasia ina tupeleka huko ....sio miungu watu TUBADILIKE
Ma Raisi wa Africa wana azaga hivo ila wananalizia wakiwa ma dictator na mafisadi wa kubwa rejea kwa jpm wa Tz.Haikande Hichilema rais kipenzi cha watu wa Zambia akiwa njiani alisimama ghafla kusemezana na wapiga kura wake kwa bashasha:
View attachment 1976912
Hakuna chopper juu, hakuna makomandoo wala wasiojulikana kumsuka suka mtu kama walivyo wasuka suka kina Dk. Diallo karibu kuangushwa chini [emoji16][emoji16].
Si mnakubalika? Si mmechaguliwa na watu? Si mlishinda kwa kishindo?
Hofu zenu hasa ni zipi basi?
Tupende tusipende tuna ya kujifunza kwa wengine.
Utawala unatoka kwa watu si kushinikizwa kwa watu.
Kushinikiza, huo ni ubakaji!
Ma Raisi wa Africa wana azaga hivo ila wananalizia wakiwa ma dictator na mafisadi wa kubwa rejea kwa jpm wa Tz.
CCM ilichaguliwa kwa 99% tunadhauri watembee hivyo barabarani. japo kwa mama sio ishu Ila magu angetembea hivyo ilinushindi wake wa 99% uriflect kwenye jamii.
Mungu ibariki ZambiaHaikande Hichilema rais kipenzi cha watu wa Zambia akiwa njiani alisimama ghafla kusemezana na wapiga kura wake kwa bashasha:
View attachment 1976912
Hakuna chopper juu, hakuna makomandoo wala wasiojulikana kumsuka suka mtu kama walivyo wasuka suka kina Dk. Diallo karibu kuangushwa chini [emoji16][emoji16].
Si mnakubalika? Si mmechaguliwa na watu? Si mlishinda kwa kishindo?
Hofu zenu hasa ni zipi basi?
Tupende tusipende tuna ya kujifunza kwa wengine.
Utawala unatoka kwa watu si kushinikizwa kwa watu.
Kushinikiza, huo ni ubakaji!
karibu sana ZambiaMleta mada unajitahidi kwa kila hali kupigania chama chako, lkn kwa bahati mbaya unatwanga maji ndan ya kinu. I mean unapoteza muda wako na bando lako bure Maana walikuwepo wenye propaganda zaidi ya hizi mnamo miaka ya 2005 mpk 2020, lkn haikusaidia kuviingiza vyama vyao madarakani.
Asante.. nipo hapa chirundu mkuu!karibu sana Zambia
Mleta mada unajitahidi kwa kila hali kupigania chama chako, lkn kwa bahati mbaya unatwanga maji ndan ya kinu. I mean unapoteza muda wako na bando lako bure Maana walikuwepo wenye propaganda zaidi ya hizi mnamo miaka ya 2005 mpk 2020, lkn haikusaidia kuviingiza vyama vyao madarakani.
Ile awamu ya maigizo ya mla mahindi ya kuchoma ya wasiojulikana iliturudisha nyuma sana
CCM ilichaguliwa kwa 99% tunadhauri watembee hivyo barabarani. japo kwa mama sio ishu Ila magu angetembea hivyo ilinushindi wake wa 99% uriflect kwenye jamii.
Zambia Mungu kaipenda sanaHaikande Hichilema rais kipenzi cha watu wa Zambia akiwa njiani alisimama ghafla kusemezana na wapiga kura wake kwa bashasha:
View attachment 1976912
Hakuna chopper juu, hakuna makomandoo wala wasiojulikana kumsuka suka mtu kama walivyo wasuka suka kina Dk. Diallo karibu kuangushwa chini ππ.
Si mnakubalika? Si mmechaguliwa na watu? Si mlishinda kwa kishindo?
Hofu zenu hasa ni zipi basi?
Tupende tusipende tuna ya kujifunza kwa wengine.
Utawala unatoka kwa watu si kushinikizwa kwa watu.
Kushinikiza, huo ni ubakaji!
Zambia Mungu kaipenda sana
Inapendeza sana...
leta mada unajitahidi kwa kila hali kupigania chama chako, lkn kwa bahati mbaya unatwanga maji ndan ya kinu. I mean unapoteza muda wako na bando lako bure Maana walikuwepo wenye propaganda zaidi ya hizi mnamo miaka ya 2005 mpk 2020, lkn haikusaidia kuviingiza vyama vyao madarakani.
Ulichokisema wala hakina mahusiano na mada yake. Kuingia madarakani hapa nchini kwetu ingekuwa ni kwa njia ya kura, ccm leo isingekuwa madarakani. Na kwa sababu hawako madarakani kwa kura halali za wananchi, ndio maana unaona ulinzi wao ni kama waliopindua nchi. Unapoona matumizi makubwa ya vyombo vya dola kwenye siasa, ujue kuna chama kiko madarakani bila ridhaa ya umma. Simple as that.