Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Tofauti yao nini ?Management ya Azam nu sawa na Management ya kampuni ya meli ya SMZ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tofauti yao nini ?Management ya Azam nu sawa na Management ya kampuni ya meli ya SMZ?
Ulaji mkuuHivi kwanini serikali huwa inafeli kwenye biashara nini tatizo haswa?
Kwani Azam nao meli zao wanatumia gesi ?Kuna haja ya kubadili mifumo ya nishati ya meli za serikali. Serikali iangalie uwezekano wa meli zote mpya zinazojengwa ziwa Victoria, Tanganyika na bahari ya Hindi kutumia nishati ya gesi ambayo ni nafuu sana ili meli hizi zianze kuendeshwa kwa faida.
Mwinyi pia angefanya 'last attempt' kwa kutenga fedha na kununua gas fired engine na kufunga kwenye baadhi ya meli, hasa zile ambazo ni mpya-mpya aone kama ufanisi utaongezeka kwa kupugua kwa gharama ya nishati.
Gas is our future...
Tatizo kuwa viongozi wa mashirika huchaguliwa na raisi hakuna kuangalia kama wana weledi wakazi au laa.Hivi kwanini serikali huwa inafeli kwenye biashara nini tatizo haswa?
Imetokea nini?Hussein Mwinyi ambaye ni Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ameagiza meli zote zinazomilikiwa na serikali hiyo ziuzwe kwa vile zinaleta hasara , ameagiza ziuzwe ili WAANZE UPYA .
Cha kushangaza sasa ! serikali ya Muungano yenyewe inaendelea kununua ndege huku zikileta mabilioni ya Hasara hadi kamati ya bunge imepigwa na bumbuwazi ! Je lengo lao ni nini ?
Hujawahi kusikia? Ni kawaida kote duniani. Siasa inahitaji undugu (ninakubali!), kwenye biashara undugu ni sumu (isipokuwa familia ndogo zinazoshikamana vema, ilhali inaeleweka baba au mama mwenye neno ni nani).Hivi kwanini serikali huwa inafeli kwenye biashara nini tatizo haswa?
Serikali kufanya biashara siku zote ni maumivuMeli za Azam Fast Ferries, Flying Horse, Zanzibar One zinatusua pesa ila za SMZ hasara tupu??
Does it stick in mind?
Utendaji mbovu na usimamizi mbovu piaHivi kwanini serikali huwa inafeli kwenye biashara nini tatizo haswa?
Zile ni boat. Sio meli. Meli unazijua wewe? Meli moja inaweza kuwa na injini mbili kila moja ikizalisha Megawat moja hadi mbili. Na nikiangalia kwenye chati injini ya megawatt moja inatumia galoni 71 za Diesel. Hii ni takribani lita 350 kwa saa kwa injini moja. Kwa meli yenye engine mbili itatumia takriban lita 700 za Diesel kwa saa.Kwani Azam nao meli zao wanatumia gesi ?
Bro Visiwani anajielewa, kama Obama vile!Hussein Mwinyi ambaye ni Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ameagiza meli zote zinazomilikiwa na serikali hiyo ziuzwe kwa vile zinaleta hasara , ameagiza ziuzwe ili WAANZE UPYA .
Cha kushangaza sasa ! serikali ya Muungano yenyewe inaendelea kununua ndege huku zikileta mabilioni ya Hasara hadi kamati ya bunge imepigwa na bumbuwazi ! Je lengo lao ni nini ?
UKOMBOZI II - Tanker (IMO: 9851012, MMSI: 677044600)
The vessel UKOMBOZI II (IMO: 9851012, MMSI: 677044600) is a Tanker It's sailing under the flag of [TZ] Tanzania
Source : Hilmi HilalJe ni ukweli kuwa Hii ndio Posco Plantec meli mbovu, kongwe iliyobadilishwa jina na kuitwa (Mapinduzi II)
Meli za SMZ ni kuukuu sana hazipati wateja wa kutoshaMeli za Azam Fast Ferries, Flying Horse, Zanzibar One zinatusua pesa ila za SMZ hasara tupu??
Does it stick in mind?
Imue mara ngapi wakati tayariWewe jamaa wa ajabu sana, inawezekana over 90% ya mawazo yako huwa unaiwaza ccm, itakujaga kukua bure, be careful.
Meli za SMZ ni kuukuu sana hazipati wateja wa kutosha
| IMO number | 9708485 |
|---|---|
| MMSI | 677015400 |
| Name of the ship | MAPINDUZI II |
| Former names | POSCO PLANTEC 13SV01 (2015) |
| Vessel type | Passenger vessel |
| Operating status | Active |
| Flag | Tanzania |
| Gross tonnage | 5464 tons |
| Deadweight | 795 tons |
| Length | 90 m |
| Breadth | 17 m |
Serikali inapaswa kutengeneza mazingira mazuri ya biashara na kuwakaribisha wawekezaji wa ndani na nje ili wafanye biashara na kuzalisha ajira pia kulipa kodi.Hivi kwanini serikali huwa inafeli kwenye biashara nini tatizo haswa?
The vessel IKRAAM I (IMO: 9848962, MMSI 677014300) is a Passenger/Ro-Ro Cargo Ship built in 2018 (3 years old) and currently sailing under the flag of Tanzania.
URASIMUHivi kwanini serikali huwa inafeli kwenye biashara nini tatizo haswa?
Hivi kwanini serikali huwa inafeli kwenye biashara nini tatizo haswa?