sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Tumeshazoea Rais wetu akibanwa anampeleka Mwinyi kumuwakilisha katika shughuli na vikao vya nje ya nchi,
Mfano leo Dk. Hussein Ali Mwinyi ameondoka Zanzibar kuelekea nchini Qatar kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Jukwaa la Kimataifa la tatu la uchumi linalofanyika Jijini Doha. Mkutano huo unatarajiwa kuhudhuriwa na maelfu ya Washiriki ikiwa ni pamoja na Viongozi wa kampuni kubwa duniani na Viongozi wa juu wa Serikali.
Phillip Mpango hayupo, kawekwa kuwa pambo au?
Mfano leo Dk. Hussein Ali Mwinyi ameondoka Zanzibar kuelekea nchini Qatar kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Jukwaa la Kimataifa la tatu la uchumi linalofanyika Jijini Doha. Mkutano huo unatarajiwa kuhudhuriwa na maelfu ya Washiriki ikiwa ni pamoja na Viongozi wa kampuni kubwa duniani na Viongozi wa juu wa Serikali.
Phillip Mpango hayupo, kawekwa kuwa pambo au?