Hilo la chakula wamepanga kupiga dir kwan kila mtu ale shule mbili dawat Kila mwez hela zinainginzwa kweny akaunt za shule huk iringa walimu wameamua kutafuta namna ya kula wanaagiz limu wakidai Kila week test tujiuliz hap sas je hiz Lim hawauzWatoto wa madarasa ya awali na darasa la kwanza hawapokelewi mashuleni mpaka wazazi watoe michango....
Wivu wa kkHilo
Hilo la chakula wamepanga kupiga dir kwan kila mtu ale shule mbili dawat Kila mwez hela zinainginzwa kweny akaunt za shule huk iringa walimu wameamua kutafuta namna ya kula wanaagiz limu wakidai Kila week test tujiuliz hap sas je hiz Lim hawauz
Mwanafunz wa shule ya msing anamitian kias cha kuomba Lim www acha utanWivu wa kk
Mbona miaka mitatu iliyopita michango haikuwepo na mambo yalikwenda?Bila michango hakuna kitakachofanyika
Taja hizo Wilaya na hizo shule ili wahusika watumbuliwe kama mzee baba alivyoagiza. Vinginevyo hayo ni majungu na masinia na masufuria. Watoto wasipochangia chakula watakula nini? Dezo ni mbaya dogo mwisho utaolewa! Hata kulisha watoto huwezi? Usisahau chakula unachochangia ni kile ambacho angekula akiwa nyumbani. Ni venue tu ndio imebadilika.
Mimi sijashuhudia ila nimeambiwa na wazazi!Kwani hadi wakuambie, we huoni!?
Michango gani haikuwepo na michango gani ipo sasa hivi? Mimi mwanangu kaanza form one hapa Jijini Mwanza, sijatoa hata shilingi zaidi ya vifaa vya usafi.Mbona miaka mitatu iliyopita michango haikuwepo na mambo yalikwenda?
Wazazi wapumbavu sana hata wakiambiwa wapeleke mifagio na jembe wanalalamaMimi sijashuhudia ila nimeambiwa na wazazi!
Anasoma kayumba?Michango gani haikuwepo na michango gani ipo sasa hivi? Mimi mwanangu kaanza form one hapa Jijini Mwanza, sijatoa hata shilingi zaidi ya vifaa vya usafi.
Bwashee acha blaah blaah weka ushahidi wa michango iliyorudishwa otherwise serikali haiwezi kufanyia kazi taarifa potoshi.