Michango gani haikuwepo na michango gani ipo sasa hivi? Mimi mwanangu kaanza form one hapa Jijini Mwanza, sijatoa hata shilingi zaidi ya vifaa vya usafi.
Ajitahidi aweke hata sauti ya mzazi akilalamikia michango kuongezeka
Hujaelewa wewe mchumia tumboHueleweki. Mara unasema hawatoi risiti wanaandika kwenye daftari, mara umeshindwa ku attach. Tuelewe nini sasa?
Sasa kwani kupeleka kiti cha kukalia mwanao nalo la kulalamika? Kwa kweli watanzania tumeambukizwa ujinga na tumekuwa wajinga webkama hupeleki kiti na meza mwanao atakaa chini nani unamkomoa?MOROGORO SHULE YA SEKONDARI KIHONDA MAGOROFANI WANAFUNZI WAMEAMBIWA WAJE NA DAWATI NA KITI CHA KUKALIA ..... USANII TUPU. CHATO OYEEE
Kimsingi we huna mtoto anayesoma ni umbea na wivu vinakusumbua. Kwenye jumuiya watu kama wewe hawakosekani.Hujaelewa wewe mchumia tumbo
Uwe unaacha ujinga basi, wewe unaishi Ikulu ambako hakuna shule au? Jambo liko wazi kila mahali lakini kazi yako kutetea kila kinachofanywa na serikali hata upuuzi, au wewe ndo Dr Abbas umeajiriwa kutetea ujinga?taja na shule vinginevyo umbeya
Wewe vyote unavyoleta jukwaani huwa vina ushahidi?Alete huo ushahidi wa daftari, asiwachoshe watu kujadili kisicho na ushahidi
Serikali ilikataza michango mashuleni kwa waraka rasmi na kusisitiza sere ya chama tawala ya elimu bure itekelezwe kikamilifu.Sema wewe ndiyo unataka kujua wananchi gani waliokutuma uwasemee?
Michango hata ulaya watu wanatoa kwa maendeleo jinga wewe kama huna tulia siyo kuleta uchochezi humu.
Sema wewe ndiyo unataka kujua wananchi gani waliokutuma uwasemee?
Michango hata ulaya watu wanatoa kwa maendeleo jinga wewe kama huna tulia siyo kuleta uchochezi humu.
Ameeleza alichokiona, unataka ushahidi ganiMkuu inaonesha una sababu zako nyuma ya pazia. Ikiwa Huna ushahidi unafanya uchochezi. Hiyo michango ni Kwa ajili ya nini na Nani walikubaliana, ni wazi wenyewe au walimu ndo wameibua wenyewe? Ni vema ukawa na maelezo yaliyojitosheleza
Vyombo vya habari ilivifungia ili uovu wenu usifichuke hadharani.Mkuu inaonesha una sababu zako nyuma ya pazia. Ikiwa Huna ushahidi unafanya uchochezi. Hiyo michango ni Kwa ajili ya nini na Nani walikubaliana, ni wazi wenyewe au walimu ndo wameibua wenyewe? Ni vema ukawa na maelezo yaliyojitosheleza
Be blessedBila michango hakuna kitakachofanyika.
Huyu mtu hajawah kutembelea hizo shule akajionea ndio maana analalamikaSasa kwani kupeleka kiti cha kukalia mwanao nalo la kulalamika? Kwa kweli watanzania tumeambukizwa ujinga na tumekuwa wajinga webkama hupeleki kiti na meza mwanao atakaa chini nani unamkomoa?
SHETANI kawashika pabaya sana,hamuoni,hamsikii,hamelewiKimsingi we huna mtoto anayesoma ni umbea na wivu vinakusumbua. Kwenye jumuiya watu kama wewe hawakosekani.
Kuwa mwelewa wewe michango in utaratibu siyo kila Mwalimu aanzishe michango kwa sababu wazazi tuna hela.Sema wewe ndiyo unataka kujua wananchi gani waliokutuma uwasemee?
Michango hata ulaya watu wanatoa kwa maendeleo jinga wewe kama huna tulia siyo kuleta uchochezi humu.
...unachosema inawezekana ikawa kweli kabisa mfano nimepeleka mwanafunzi wa kidato cha Kwanza kangaye sc ilemela mwanza....dawati elfu 50. Pesa ya ujenzi elfu 10 nk..Nimepata risit chache kwa shule chache,maeneo mengi niliyopita wanatumia daftari
Elimu bure michango ya nn
We uko nchi gani?Taja na shule vinginevyo umbeya