Rais watu wa Kusini mwa Tanzania utawatembelea lini?

Rais watu wa Kusini mwa Tanzania utawatembelea lini?

sambulugu

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2021
Posts
4,485
Reaction score
8,562
Nasema hivyo kwa sababu!
Rais wetu kashafanya ziara ndani ya nchi yetu hususani kwenye mikoa ile ile mara mbili au tatu lakini hatujaona ikifanya hivyo kusini mwa nchi!

Mfano Rais wetu katembelea mara tatu mwanza na geita pia kwa kanda ya ziwa! Pia Arusha na Kilimanjaro katembela nako sio chini ya mara tatu!

Dodoma pia kwa kuwa ndio makoa makuuu ya nchi napo yupo kutokana na majukumu ya kiserkali! Lakini mzunguko umekuwa uleule wa Dar -Zanzibar-arusha -mwanza na Dodoma!

Ili kuleta hamasa kwa wananchi ni vizuri hata wao wa mikoa ya kusini na nyanda za juu kusini kama Mbeya ukawatembelea ili nao wajione kuwa uko nao! Utamaduni wa mwafrika ni kutembeleana na kujuliana hali na mtu asipokutembelea anakuwa kama kakutenga!

Mikoa hii ndio mikoa itoayo mazao ya chakula kwa wingi sana na mchango wake katika GDP ya nchi ni mkubwa! Mfano mikoa ya kusini mwa nchi inamazo kama Korosho zao ambalo huchangia pakubwa sana katika pato la taifa pia mikoa ya Mbeya, Mjombe na Iringa ndo mikoa ya uzalishaji mkubwa wa chakula mpaka ikafikia mda ikaitwa ghala la chakula!

Hili jambo la kutembelea wanachi litamleta Rais umaarufu na kujua changamoto wanazopia badala ya kutembelea maeneo yale yale kila siku!

Nchii hii ni yetu sote na Rais ni wa wote chonde chonde mama kipindi ya Magufuli maeneo ya kusini pia hakuyatembea sana na wewe jitahi usiwe kaka Magufuli!

Asante!
 
Anzeni chokochoko za kudai kujitenga na kujiunga msumbiji au malawi au Zambia.

Mtaona jinsi watakavyo wajari na kuwaletea maendeleo hadi mshangae.

Tofauti na hapo wanajua hamna maajabu waje, wasije mtawapigia kura tu mana wameshawageuza mazuzu.

Mkipewa kanga za kijani na chumvi mnawapa kura kama zote...anzeni kuikataa ccm waziwazi mtaona jinsi watakavyo haha kuwasikiliza.

Mikoa yote uliyoongelea walishaga ikataa ccm kitambo na wao wanajua so lazima waidhamini ili wapate kupendwa tena...ukiondoa dodoma ambayo ni makao makuu ya nchi.

Wananchi ndio wenye nchi shida wengi wao hawatambui hili.

#MaendeleoHayanaChama
 
Daa nikweli yaani hata viongozi wanaotokea pwani hawana habari na kusini! Ila Mbeya ndo tabu zaidi ukiangalia wanaitwa jiji ila kiuhalisia serkali haijawekeza miundombinu hata kidogo! Kumbukeni tafadhari!
Kusini imetengwa na kuna majizi kila sehemu,ila viongozi waikumbuke Kusini hata kiuongouongo
 
Msije mkamfukiza rais wetu kwa moshi.

Somo alilopata mwendezake tulilielewa.

Kusini ya mimoshi, kama jamaa zetu wale walifanya soweto dimbani dhidi ya Orlando.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji2]
 
Anzeni chokochoko za kudai kujitenga na kujiunga msumbiji au malawi au Zambia.

Mtaona jinsi watakavyo wajari na kuwaletea maendeleo hadi mshangae...
CCM ipo na itaendelea kuwepo. Utakufa utaoza na CCM itakuwepo.
 
Si lazima Rais afike maeneo yote kwa muda mfupi, kuna Wakuu wa Mikoa hao ndio wawakilishi wa Rais kwenye mikoa
 
Si lazima Rais afike maeneo yote kwa muda mfupi, kuna Wakuu wa Mikoa hao ndio wawakilishi wa Rais kwenye mikoa
Hapana ukubali ukatae umuuhimu wa kusini kwa marais wengi ni mdogo! Tunaomba hii hali ikomweshe!
 
Nasema hivyo kwa sababu!
Rais wetu kashafanya ziara ndani ya nchi yetu hususani kwenye mikoa ile ile mara mbili au tatu lakini hatujaona ikifanya hivyo kusini mwa nchi!

Mfano Rais wetu katembelea mara tatu mwanza na geita pia kwa kanda ya ziwa! Pia Arusha na Kilimanjaro katembela nako sio chini ya mara tatu!

Dodoma pia kwa kuwa ndio makoa makuuu ya nchi napo yupo kutokana na majukumu ya kiserkali! Lakini mzunguko umekuwa uleule wa Dar -Zanzibar-arusha -mwanza na Dodoma!

Ili kuleta hamasa kwa wananchi ni vizuri hata wao wa mikoa ya kusini na nyanda za juu kusini kama Mbeya ukawatembelea ili nao wajione kuwa uko nao! Utamaduni wa mwafrika ni kutembeleana na kujuliana hali na mtu asipokutembelea anakuwa kama kakutenga!

Mikoa hii ndio mikoa itoayo mazao ya chakula kwa wingi sana na mchango wake katika GDP ya nchi ni mkubwa! Mfano mikoa ya kusini mwa nchi inamazo kama Korosho zao ambalo huchangia pakubwa sana katika pato la taifa pia mikoa ya Mbeya, Mjombe na Iringa ndo mikoa ya uzalishaji mkubwa wa chakula mpaka ikafikia mda ikaitwa ghala la chakula!

Hili jambo la kutembelea wanachi litamleta Rais umaarufu na kujua changamoto wanazopia badala ya kutembelea maeneo yale yale kila siku!

Nchii hii ni yetu sote na Rais ni wa wote chonde chonde mama kipindi ya Magufuli maeneo ya kusini pia hakuyatembea sana na wewe jitahi usiwe kaka Magufuli!

Asante!
Wewe ni mkabila na mkanda
 
Anzeni chokochoko za kudai kujitenga na kujiunga msumbiji au malawi au Zambia.

Mtaona jinsi watakavyo wajari na kuwaletea maendeleo hadi mshangae.

Tofauti na hapo wanajua hamna maajabu waje, wasije mtawapigia kura tu mana wameshawageuza mazuzu.

Mkipewa kanga za kijani na chumvi mnawapa kura kama zote...anzeni kuikataa ccm waziwazi mtaona jinsi watakavyo haha kuwasikiliza.

Mikoa yote uliyoongelea walishaga ikataa ccm kitambo na wao wanajua so lazima waidhamini ili wapate kupendwa tena...ukiondoa dodoma ambayo ni makao makuu ya nchi.

Wananchi ndio wenye nchi shida wengi wao hawatambui hili.

#MaendeleoHayanaChama
Umeongea jambo la maana mikoa ya kusini wanajifanyaga watakatifu sana na ndiyo maana ni wazee wa kuburuzwa buruzwa hasa hasa Mkoa wa Rukwa.
 
Huo ndugu ndiyo ujinga wa Watanzania wengi kuamini kuwa bila ccm Tanzania itakufa huo ni ugonjwa mbaya sana.
 
Acheni uc.hawi kwanza ndo Rais adhuru huko..

Kilichompata Jiwe ni somo kubwa.
 
Kilwaaaa, ah Kilwa!. Nmeenda siku chache lakini nakutamani hadi leo. Nimekupenda haswaa!!
 
Unasahau mwendazake mpaka anaondoka hakuwahi kufanya ziara mkoa wa Kilimanjaro.

Alipita tu kizushi kipindi cha uchaguzi
Nasema hivyo kwa sababu!
Rais wetu kashafanya ziara ndani ya nchi yetu hususani kwenye mikoa ile ile mara mbili au tatu lakini hatujaona ikifanya hivyo kusini mwa nchi!

Mfano Rais wetu katembelea mara tatu mwanza na geita pia kwa kanda ya ziwa! Pia Arusha na Kilimanjaro katembela nako sio chini ya mara tatu!

Dodoma pia kwa kuwa ndio makoa makuuu ya nchi napo yupo kutokana na majukumu ya kiserkali! Lakini mzunguko umekuwa uleule wa Dar -Zanzibar-arusha -mwanza na Dodoma!

Ili kuleta hamasa kwa wananchi ni vizuri hata wao wa mikoa ya kusini na nyanda za juu kusini kama Mbeya ukawatembelea ili nao wajione kuwa uko nao! Utamaduni wa mwafrika ni kutembeleana na kujuliana hali na mtu asipokutembelea anakuwa kama kakutenga!

Mikoa hii ndio mikoa itoayo mazao ya chakula kwa wingi sana na mchango wake katika GDP ya nchi ni mkubwa! Mfano mikoa ya kusini mwa nchi inamazo kama Korosho zao ambalo huchangia pakubwa sana katika pato la taifa pia mikoa ya Mbeya, Mjombe na Iringa ndo mikoa ya uzalishaji mkubwa wa chakula mpaka ikafikia mda ikaitwa ghala la chakula!

Hili jambo la kutembelea wanachi litamleta Rais umaarufu na kujua changamoto wanazopia badala ya kutembelea maeneo yale yale kila siku!

Nchii hii ni yetu sote na Rais ni wa wote chonde chonde mama kipindi ya Magufuli maeneo ya kusini pia hakuyatembea sana na wewe jitahi usiwe kaka Magufuli!

Asante!
 
Nasema hivyo kwa sababu!
Rais wetu kashafanya ziara ndani ya nchi yetu hususani kwenye mikoa ile ile mara mbili au tatu lakini hatujaona ikifanya hivyo kusini mwa nchi!

Mfano Rais wetu katembelea mara tatu mwanza na geita pia kwa kanda ya ziwa! Pia Arusha na Kilimanjaro katembela nako sio chini ya mara tatu!

Dodoma pia kwa kuwa ndio makoa makuuu ya nchi napo yupo kutokana na majukumu ya kiserkali! Lakini mzunguko umekuwa uleule wa Dar -Zanzibar-arusha -mwanza na Dodoma!

Ili kuleta hamasa kwa wananchi ni vizuri hata wao wa mikoa ya kusini na nyanda za juu kusini kama Mbeya ukawatembelea ili nao wajione kuwa uko nao! Utamaduni wa mwafrika ni kutembeleana na kujuliana hali na mtu asipokutembelea anakuwa kama kakutenga!

Mikoa hii ndio mikoa itoayo mazao ya chakula kwa wingi sana na mchango wake katika GDP ya nchi ni mkubwa! Mfano mikoa ya kusini mwa nchi inamazo kama Korosho zao ambalo huchangia pakubwa sana katika pato la taifa pia mikoa ya Mbeya, Mjombe na Iringa ndo mikoa ya uzalishaji mkubwa wa chakula mpaka ikafikia mda ikaitwa ghala la chakula!

Hili jambo la kutembelea wanachi litamleta Rais umaarufu na kujua changamoto wanazopia badala ya kutembelea maeneo yale yale kila siku!

Nchii hii ni yetu sote na Rais ni wa wote chonde chonde mama kipindi ya Magufuli maeneo ya kusini pia hakuyatembea sana na wewe jitahi usiwe kaka Magufuli!

Asante!
Subirini kwanza ugonjwa wa kutokwa damu puani na kuanguka uchunguzwe na kujulikana chanzo chake
 
Back
Top Bottom