Rais wetu hana uwezo wa kushusha bei ya mafuta, msijipe matumaini

Rais wetu hana uwezo wa kushusha bei ya mafuta, msijipe matumaini

Raisi wetu hapa Tz hana uwezo wa kushusha bei ya mafuta with a signifucant fingure ila ana uwezo wa ku-regulate non pricing factors za mafuta

Bei ya mafuta iko juu globally sio Africa tu hata kwenye metropolitan countries ambazo ni dona countries, ndo zinazo determine prices za mafuta hapa Tz hamna price mechanism as factor to determine prices i.e (forces of demand vs forces of suply)

Currency au pesa za nchi za Africa hasa Tz ziko-pegged na currency ya dollars, nchi zingine na pounds or euros kwahiyo hatuwezi kuzi-control hizo currency kama ku-devalue ili bei ya mafuta ishuke na other international commodities. BOT haina mamlaka nazo lazima tu wa fuate wao,

Kama mafuta ya mepanda bei US Wingereza Ugerumani Ufaransa ni kua "economically novice" kufikiri kwamba mama Samia atasimama Ikulu dodoma atangaze kwamba ni meondoa sh 1000 kwenye bei ya mafuta haiwezekani hiyo ni day dreaming, sawa kodi ya serikali kwenye kila litre ya mafuta ni zaidi ya sh1600 ila hiyo iko pale kwa makubaliano fulani na metropole contries kulipa mkopo fulani uliomba, kwasabb kwenye proposal ya kulipa chanzo ulionyesha kodi itakao toka kwenye mafuta kwahiyo sio rahisi kuifuta mambo mengi yatakwama.

Raisi wetu ana uwezo wa kushusha bei ya nondo cement Pembejeo sukali nk. Kwasabb tunazalisha wenyewe au kupunguza bei ya mafuta kwa sh 200 au 150 ili apunguze kelele za laymen.

Hivi vinchi vyetu vya Ldcs vinakua controlled na mataifa makubwa ila viongozi wetu hawataki kutuambia na kutuweka bayana ni kama wana jishusha hadhi ya (national sovereignty) ukweli lack of economic transparency ni kubwa sanaa Africa kuna kiongozi wetu moja alikua anakopa usku mchana anatoka anasema tuna tumia pesa yetu ya ndani mwisho wa siku tunakua kwenye (debt trap) inayo tufanya tupangiwe bei ya vitu hususani International commodities kama fuel ili tuweze kulipa hilo deni na tuweze kukopa deni jipya, kwahiyo mstegemee kwamba raisi anauwezo wakupunguza bei ya mafuta with asignificant figure.

There's some truth to this.
 
Raisi wetu hapa Tz hana uwezo wa kushusha bei ya mafuta with a signifucant fingure ila ana uwezo wa ku-regulate non pricing factors za mafuta

Bei ya mafuta iko juu globally sio Africa tu hata kwenye metropolitan countries ambazo ni dona countries, ndo zinazo determine prices za mafuta hapa Tz hamna price mechanism as factor to determine prices i.e (forces of demand vs forces of suply)

Currency au pesa za nchi za Africa hasa Tz ziko-pegged na currency ya dollars, nchi zingine na pounds or euros kwahiyo hatuwezi kuzi-control hizo currency kama ku-devalue ili bei ya mafuta ishuke na other international commodities. BOT haina mamlaka nazo lazima tu wa fuate wao,

Kama mafuta ya mepanda bei US Wingereza Ugerumani Ufaransa ni kua "economically novice" kufikiri kwamba mama Samia atasimama Ikulu dodoma atangaze kwamba ni meondoa sh 1000 kwenye bei ya mafuta haiwezekani hiyo ni day dreaming, sawa kodi ya serikali kwenye kila litre ya mafuta ni zaidi ya sh1600 ila hiyo iko pale kwa makubaliano fulani na metropole contries kulipa mkopo fulani uliomba, kwasabb kwenye proposal ya kulipa chanzo ulionyesha kodi itakao toka kwenye mafuta kwahiyo sio rahisi kuifuta mambo mengi yatakwama.

Raisi wetu ana uwezo wa kushusha bei ya nondo cement Pembejeo sukali nk. Kwasabb tunazalisha wenyewe au kupunguza bei ya mafuta kwa sh 200 au 150 ili apunguze kelele za laymen.

Hivi vinchi vyetu vya Ldcs vinakua controlled na mataifa makubwa ila viongozi wetu hawataki kutuambia na kutuweka bayana ni kama wana jishusha hadhi ya (national sovereignty) ukweli lack of economic transparency ni kubwa sanaa Africa kuna kiongozi wetu moja alikua anakopa usku mchana anatoka anasema tuna tumia pesa yetu ya ndani mwisho wa siku tunakua kwenye (debt trap) inayo tufanya tupangiwe bei ya vitu hususani International commodities kama fuel ili tuweze kulipa hilo deni na tuweze kukopa deni jipya, kwahiyo mstegemee kwamba raisi anauwezo wakupunguza bei ya mafuta with asignificant figure.
Mimi nimekuelewa vizuri sana Mkuu.
 
Raisi wetu hapa Tz hana uwezo wa kushusha bei ya mafuta with a signifucant fingure ila ana uwezo wa ku-regulate non pricing factors za mafuta

Bei ya mafuta iko juu globally sio Africa tu hata kwenye metropolitan countries ambazo ni dona countries, ndo zinazo determine prices za mafuta hapa Tz hamna price mechanism as factor to determine prices i.e (forces of demand vs forces of suply)

Currency au pesa za nchi za Africa hasa Tz ziko-pegged na currency ya dollars, nchi zingine na pounds or euros kwahiyo hatuwezi kuzi-control hizo currency kama ku-devalue ili bei ya mafuta ishuke na other international commodities. BOT haina mamlaka nazo lazima tu wa fuate wao,

Kama mafuta ya mepanda bei US Wingereza Ugerumani Ufaransa ni kua "economically novice" kufikiri kwamba mama Samia atasimama Ikulu dodoma atangaze kwamba ni meondoa sh 1000 kwenye bei ya mafuta haiwezekani hiyo ni day dreaming, sawa kodi ya serikali kwenye kila litre ya mafuta ni zaidi ya sh1600 ila hiyo iko pale kwa makubaliano fulani na metropole contries kulipa mkopo fulani uliomba, kwasabb kwenye proposal ya kulipa chanzo ulionyesha kodi itakao toka kwenye mafuta kwahiyo sio rahisi kuifuta mambo mengi yatakwama.

Raisi wetu ana uwezo wa kushusha bei ya nondo cement Pembejeo sukali nk. Kwasabb tunazalisha wenyewe au kupunguza bei ya mafuta kwa sh 200 au 150 ili apunguze kelele za laymen.

Hivi vinchi vyetu vya Ldcs vinakua controlled na mataifa makubwa ila viongozi wetu hawataki kutuambia na kutuweka bayana ni kama wana jishusha hadhi ya (national sovereignty) ukweli lack of economic transparency ni kubwa sanaa Africa kuna kiongozi wetu moja alikua anakopa usku mchana anatoka anasema tuna tumia pesa yetu ya ndani mwisho wa siku tunakua kwenye (debt trap) inayo tufanya tupangiwe bei ya vitu hususani International commodities kama fuel ili tuweze kulipa hilo deni na tuweze kukopa deni jipya, kwahiyo mstegemee kwamba raisi anauwezo wakupunguza bei ya mafuta with asignificant figure.
Uhuru wakweli ni Uhuru wa Uchumi:- JPM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo tozo nyingi zinalipa madeni ya jpm debt service ili tuweze kupata mikopo mipyw kubuka bajeti yetu ni deficit bajeti kwa 43% sasa ukiendelea kuondoa mapato hiyo deficit itaongezeka tukose na basics kama dawa na mishahara ya watumishi
Kwani JPM kakukosea nn? Wakati wake aliweka kias gani cha fedha katika mafuta? Kama tulimaliza deni la TAZARA kwa mchina Awamu 5 shida ikowap sasa kulipia maden?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiaangalia utitiri wa matozo kutokea kwenye bei halisi wanayonunulia mafuta kwa CIF huko nje ambayo haifiki Tshs.1,300 hivyo ina maana ukiongeza na huo utitiri ndio mlaji wa mwisho wa Dar ananunua kwa Tshs.3100 ina maana kuna karibia buku 2 za matozo tu.

Kuishusha hiyo bei inawezekana kabisa wakiacha kujifikiria wao tu,mbona Zanzibar ni Tshs.2600?
 
Umeandika ujinga mama kasema waangalie maeneo mfano kupunguza matumizi yakawaida serikalini ili fedha hizo zikapelekwe huko Kama ruzuku kwenye makampuni ili tupunguziwe Bei ya mafuta .......
 
Ukiaangalia utitiri wa matozo kutokea kwenye bei halisi wanayonunulia mafuta kwa CIF huko nje ambayo haifiki Tshs.1,300 hivyo ina maana ukiongeza na huo utitiri ndio mlaji wa mwisho wa Dar ananunua kwa Tshs.3100 ina maana kuna karibia buku 2 za matozo tu.

Kuishusha hiyo bei inawezekana kabisa wakiacha kujifikiria wao tu,mbona Zanzibar ni Tshs.2600?
Mkuu ni kweli ila huo utitiri wa tozo ulishwa pangiwa matumizi na huenda na mikopo ilisha ombwa kwa kutegemea tozo hizo kuziondowa, serikali itakwama mahara katika uendeshaji wake.
 
Hizo tozo nyingi zinalipa madeni ya jpm debt service ili tuweze kupata mikopo mipyw kubuka bajeti yetu ni deficit bajeti kwa 43% sasa ukiendelea kuondoa mapato hiyo deficit itaongezeka tukose na basics kama dawa na mishahara ya watumishi
Hakuna madeni ya JPM, sema madeni ya nchi. Magufuli amezikwa na SGR?
 
Zenji sio nchi kamiri haitambuliki na imf au world Bank kama ni mikopo wanaipata kupitia mgongo wa TZ
Hujajibu swali, acha ujanja ujanja iweje mafuta yawe 2800 huku 3300? Wamefanya nini ambacho bara kinatushinda?
 
Hujajibu swali, acha ujanja ujanja iweje mafuta yawe 2800 huku 3300? Wamefanya nini ambacho bara kinatushinda?
Mkuu zenji haipangiwi bei na metropole nations kwasbb haitambuliki kwenye account za imf en world Bank kama nchi huru, anae paswa kupanga bei kule zenji ni Tanzania ambaye ineshindwa kudhibiti hilo.
 
Kupanda kwa bei za mafuta kwa sasa hakuhusishi thamani ya Dollar.

Hata huko US wanaomiliki dollar, makampuni ya kuchimba mafuta na gesi, kuwa na refinery za kutosha ila bado gharama ya mafuta ni kubwa kuliko kwetu sisi na inazidi kupanda.
Acha uongo hii hapa ni manhattan, bei ni kwa gallon. Ukipiga hesabu ni kama 8,900 tsh.
Ambapo gallon 1= lt 3.7
IMG-20220505-WA0001.jpg
 
Rais wetu hapa Tanzania hana uwezo wa kushusha bei ya mafuta with a signifucant figure ila ana uwezo wa ku-regulate non pricing factors za mafuta.

Bei ya mafuta iko juu globally sio Afrika tu hata kwenye metropolitan countries ambazo ni dona countries, ndo zinazo determine prices za mafuta hapa Tanzania hamna price mechanism as factor to determine prices i.e (forces of demand vs forces of suply)

Currency au pesa za nchi za Africa hasa Tanzania ziko-pegged na currency ya dollars, nchi zingine na pounds or euros kwahiyo hatuwezi kuzi-control hizo currency kama ku-devalue ili bei ya mafuta ishuke na other international commodities. BOT haina mamlaka nazo lazima tu wa fuate wao,

Kama mafuta ya mepanda bei US Wingereza Ugerumani Ufaransa ni kua "economically novice" kufikiri kwamba mama Samia atasimama Ikulu dodoma atangaze kwamba ni meondoa sh 1000 kwenye bei ya mafuta haiwezekani hiyo ni day dreaming, sawa kodi ya serikali kwenye kila litre ya mafuta ni zaidi ya sh1600 ila hiyo iko pale kwa makubaliano fulani na metropole contries kulipa mkopo fulani uliomba, kwasabb kwenye proposal ya kulipa chanzo ulionyesha kodi itakao toka kwenye mafuta kwahiyo sio rahisi kuifuta mambo mengi yatakwama.

Raisi wetu ana uwezo wa kushusha bei ya nondo cement Pembejeo sukali nk. Kwasabb tunazalisha wenyewe au kupunguza bei ya mafuta kwa sh 200 au 150 ili apunguze kelele za laymen.

Hivi vinchi vyetu vya Ldcs vinakua controlled na mataifa makubwa ila viongozi wetu hawataki kutuambia na kutuweka bayana ni kama wana jishusha hadhi ya (national sovereignty) ukweli lack of economic transparency ni kubwa sanaa Africa kuna kiongozi wetu moja alikua anakopa usku mchana anatoka anasema tuna tumia pesa yetu ya ndani mwisho wa siku tunakua kwenye (debt trap) inayo tufanya tupangiwe bei ya vitu hususani International commodities kama fuel ili tuweze kulipa hilo deni na tuweze kukopa deni jipya, kwahiyo mstegemee kwamba raisi anauwezo wakupunguza bei ya mafuta with asignificant figure.
Shida hiyo mikopo ndio inanyia nini
7 bill royal tour phase one.
Anafanya nn kupunguza bei ya vitu produced in our own country HAKUNA
Naangalia taarifa ya habari hapa msd chombo cha 36 million kimenunuliwa 139 million na hiyo ni kodi / tozo ya wananchi ambao wanastruggle na inflation aiseh
Hapo ndipo anapofeli tu kikubwa.
Unapokea laki tano ukiitoa tu tozo while umeilipia kodi pia how are you surviving
Its very hard
 
Back
Top Bottom