Jbst
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,971
- 4,085
Nimefikiria sana huu upumbavu anaoukubali rais wetu wa Yanga !! Hivi Kweli yanga inahitaji hamasa za kisiasa kushinda mechi? Kiukweli ni hapana.
Sijawahi kuona au kusikia popote kutoka kwa wenzetu waliofanikiwa ktk soka kukubali team zao kutumiwa kisiasa na watawala. Ni mambo ya hovyo sana.
Hili swala sio ushabiki wa kisiasa kwamba naichukia CCM, hapana. Ila huu upumbavu tunapaswa kuukataa na sio kwa Yanga tu hata simba inapaswa kukataa huu upuuzi.
Hata zile pesa sijui za kila goli hazina maana yoyote na haziwezi kuhamasisha team kushinda mechi,
Nimeshangaa sana viongozi wa serikali kusafiri na team tena wakiwakalisha wachezaji kuwambia porojo zao za kisiasa ili kushinda mechi!
Huyu hersi ni Muoga tu alipaswa kuwakataa wanasiasa wote. Serikali kama kutoa hamasa walipaswa tu kutoa ndege basi au kutoa tu ahadi mkishinda mtapewa kiasi fulani, tena walipaswa kutoa hizo ahadi kwa rais hersi sio kwenda kuonana wachezaji kabla ya mechi.
Ukimsikiliza yule waziri ni porojo tupu na mweupe kabisa kuhusu mpira wa miguu sana sana kulikua na kampeni za kisiasa tu,
Kulikua na haja gani watu kuvalishwa nguo za mama samia?
Hii nchi imelaaniwa
Sijawahi kuona au kusikia popote kutoka kwa wenzetu waliofanikiwa ktk soka kukubali team zao kutumiwa kisiasa na watawala. Ni mambo ya hovyo sana.
Hili swala sio ushabiki wa kisiasa kwamba naichukia CCM, hapana. Ila huu upumbavu tunapaswa kuukataa na sio kwa Yanga tu hata simba inapaswa kukataa huu upuuzi.
Hata zile pesa sijui za kila goli hazina maana yoyote na haziwezi kuhamasisha team kushinda mechi,
Nimeshangaa sana viongozi wa serikali kusafiri na team tena wakiwakalisha wachezaji kuwambia porojo zao za kisiasa ili kushinda mechi!
Huyu hersi ni Muoga tu alipaswa kuwakataa wanasiasa wote. Serikali kama kutoa hamasa walipaswa tu kutoa ndege basi au kutoa tu ahadi mkishinda mtapewa kiasi fulani, tena walipaswa kutoa hizo ahadi kwa rais hersi sio kwenda kuonana wachezaji kabla ya mechi.
Ukimsikiliza yule waziri ni porojo tupu na mweupe kabisa kuhusu mpira wa miguu sana sana kulikua na kampeni za kisiasa tu,
Kulikua na haja gani watu kuvalishwa nguo za mama samia?
Hii nchi imelaaniwa