Rais William Ruto aapisha Baraza lake jipya la Mawaziri

Rais William Ruto aapisha Baraza lake jipya la Mawaziri

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Rais William Ruto amepata kibali rasmi cha Bunge kuwateua Mawaziri wa Serikali yake ambao wataanza kazi leo Oktoba 27, 2022 baada ya kupitia mchujo wa Kikatiba kwa takriban wiki 2

Mawaziri hao pamoja na Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Baraza la Mawaziri wanatarajia kuapishwa na Rais katika Ikulu ya Kenya jijini Nairobi.

 
Back
Top Bottom