Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Ndiyo maana halisi ya katiba bora isiyoweka kinga kwa mijingamijinga.Siyo huko Shelui mnapotaka kuandamana kwa amani mnaambiwa mtapigwa hadi mchakae.Katiba gani ya kilofa namna hii,Rais anakamtwa vipi na vijana wa Murilo wa huko?.