Rais Yoweri Museveni awasili Mombasa kwa ziara rasmi ya siku mbili

Rais Yoweri Museveni awasili Mombasa kwa ziara rasmi ya siku mbili

Kama namuona anavyonuna JPM.Lile bomba la mafuta limeishia wapi?
Sidhani bomba la mafuta la Uganda lipo kwenye agenda. Uganda ndio 'customer' mkubwa wa bandari ya Mombasa ukanda huu wote. Kuna mradi wa reli ya SGR ya kuelekea Uganda pia, kuna fursa nyingi sana za kibiashara kati ya Kenya na Uganda.
 
Kaguta si mtu wa kumuamini huyu akitaka kutuliza atatuliza tu.

Hilo sahau...Bomba kuhamishwa kwa sasa haiwezekani..Kwa sasa navyo ongea kuna makampuni yapo kazini yakifanya detailed design ya bomba hapa Tanzania....!! Nitakupigia picha siku nikipita watapo kuwa wameweka kambi
 
Uhuru is the most wasteful president kenya has ever seen..Organising a huge ceremony with 21 gun salute for a neighbour like M7 is just extravagance..
How many times has museveni/kagame et al been to Dar cut huge deals in infrastructure and business and you bearly know that a president was visiting?
Uhuru is obsessed with ceremony and pomp which he himself does not even receive when he visits other countries..He foolishly thinks 21 gun salutes for dictators will bring in business deals..What a fool
kumbe ndio naona uchumi wa tanzania unakuwa kwa kasi...itabidi sasa tununue land force one (bus)...ndio na sisi pia tubane matumizi..wasemaje hapo mr economics...

alafu badala ya kupoteza risasi...tuta rushwa moja hewani alafu tuurekodi ule mlio wa risasi then utakuwa unachezwa mara ishirini na moja...

bro ukiendelea hvo magu atakuwachia kiti...
 
Uhuru is the most wasteful president kenya has ever seen..Organising a huge ceremony with 21 gun salute for a neighbour like M7 is just extravagance..
How many times has museveni/kagame et al been to Dar cut huge deals in infrastructure and business and you bearly know that a president was visiting?
Uhuru is obsessed with ceremony and pomp which he himself does not even receive when he visits other countries..He foolishly thinks 21 gun salutes for dictators will bring in business deals..What a fool
images
Hapa rais Uhuru alikuwa Entebbe, Uganda
etirayrm01l7bifuv9d75b80595bd6eec.jpg
na hapa alikuwa kule China. Gwaride la heshima na mizinga 21 ni protokali ya ziara rasmi, yaani 'state visit' ya rais yoyote yule kwenye nchi karibia zote duniani.
 
kumbe ndio naona uchumi wa tanzania unakuwa kwa kasi...itabidi sasa tununue land force one (bus)...ndio na sisi pia tubane matumizi..wasemaje hapo mr economics...

alafu badala ya kupoteza risasi...tuta rushwa moja hewani alafu tuurekodi ule mlio wa risasi then utakuwa unachezwa mara ishirini na moja...

bro ukiendelea hvo magu atakuwachia kiti...
Mimi na sema Uhuru angetumia pesa za matembezi na makaribisho kama kibaki tungekua vizuri..Tukumbuke kwamba hukuna serikali iliyo fanya vizuri kama ya kibaki
 
images
Hapa rais Uhuru alikuwa Entebbe, Uganda
etirayrm01l7bifuv9d75b80595bd6eec.jpg
na hapa alikuwa kule China. Gwaride la heshima na mizinga 21 ni protokali ya ziara rasmi, yaani 'state visit' ya rais yoyote yule kwenye nchi karibia zote duniani.
Haunielewi wewe, mimi na sema budget ya sherehe kama hizi imeongezeka mara karibu tano, ila hakuna benefit ya kisiasa za africa ama kwa uchumi..Kibaki alitumia fedha ndogo sana na maendeleo mengi
 
Haunielewi wewe, mimi na sema budget ya sherehe kama hizi imeongezeka mara karibu tano, ila hakuna benefit ya kisiasa za africa ama kwa uchumi..Kibaki alitumia fedha ndogo sana na maendeleo mengi
Unakurupuka tu kama kawa, hujui tofauti kati ya state visit/ziara rasmi na ziara za kawaida/courtesy calls. Umesema Rais U.K. huwa hapewi heshima kama za gwaride na mizinga 21. Nimekuekea picha akikagua gwaride Uganda na China. Rais Mwai Kibaki alikuwa anafata protokali hata zaidi ya rais U.K. Acha majungu, jadili vitu vingine vya maana.
 
Back
Top Bottom