Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angekataa kujiunga na Nato kulikuwa na shida gani.ona wananchi wanavyoteseka.ujinga wake mwenyewe.Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ameomba dunia kuandamana kupinga operasheni ya Urusi nchini Ukraine. Operesheni ya Urusi nchini Ukraine imesababisha mapigano na vifo vya watu wengi tangu kuanza kwake Februari 24
Rais Zelensky amesema kuisapoti Ukraine ni kusapoti uhuru na Maisha. Ametaka watu waingie mitaani an viwanjani kufanya sauti zao zisikike kuhusu kupinga hatua za Urusi
Mgogoro wa Urusi na Ukraine umesababisha matatizo mengi duniani ikiwemo kupanda kwa bei za mafuta na chakula kwa nchi zinazoendelea
===
Zelensky Urges Global Protests Against Russia
The Ukrainian President has urged citizens around the world go out and protest against Russia's operation in Ukraine.
"Come with Ukrainian symbols to support Ukraine, to support freedom, to support life," Zelensky said in a video address in English. "Come to your squares, to your streets, make yourselves visible and heard."
RT News
Tuwaachie Chadema. Wao ndio hawana kazi za kufanya. Kila siku wanalilia kuandamana. Fursa hiyo. Waitumie vizuriHuku kwetu tutachezeshwa virungu mpaka polisi tuwaone wanafanana na Putin..[emoji23]
By the way tunaanzia wapi maandamano kikubwa mbio ninazo bila kusahau na kidumu cha maji..[emoji28]
Ni makubaliano yao ya mwanzo kipindi warsaw pact wanaivunja........shida mmoja anakiuka makubaliano ndo hapo shida inapokuja kwa mrusiKwa nini Russia hataki Ukraine ijiunge NATO, tatizo kwa Russia ni nini ?
Russia anatoa hoja gani ya kusema ana haki ya kitaka jirani asiingie NATO?
Kama ile ya US alokua nayo wakat wa CUBAN CRISISKwa nini Russia hataki Ukraine ijiunge NATO, tatizo kwa Russia ni nini ?
Russia anatoa hoja gani ya kusema ana haki ya kitaka jirani asiingie NATO?
Huku kwetu maandamano ni mwiko., lakini nyoyo zetu zipo upande wa Ukraine, tunaelewa mulilala na asubuhi kuamkia mabomu kila upande, hii haikubaliki na ni jambo la kulaaniwa na kila mtu, sauti zetu tunapaza sana kupitia mitandao na tuna matumaini makubwa Ukraine watashinda hii vita na mwanga tayari ushaonekana juzi warusi wamefurushwa na kurudi nyuma walikotoka 100 kilometers, jana meli 3 za urusi zimeripuliw Kiev, Majenerali 5 wameenda na maji, siku zote tupo pamoja na nanyi, Zelensky ndio rais wa pekee kwa sasa anaestahili kuvanishwa nishani ya ujasiri kwa kuipigania nchi yake bila ya unafiki, tunakupenda sana 💪💪💪💪💪Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ameomba dunia kuandamana kupinga operasheni ya Urusi nchini Ukraine. Operesheni ya Urusi nchini Ukraine imesababisha mapigano na vifo vya watu wengi tangu kuanza kwake Februari 24
Rais Zelensky amesema kuisapoti Ukraine ni kusapoti uhuru na Maisha. Ametaka watu waingie mitaani an viwanjani kufanya sauti zao zisikike kuhusu kupinga hatua za Urusi
Mgogoro wa Urusi na Ukraine umesababisha matatizo mengi duniani ikiwemo kupanda kwa bei za mafuta na chakula kwa nchi zinazoendelea
===
Zelensky Urges Global Protests Against Russia
The Ukrainian President has urged citizens around the world go out and protest against Russia's operation in Ukraine.
"Come with Ukrainian symbols to support Ukraine, to support freedom, to support life," Zelensky said in a video address in English. "Come to your squares, to your streets, make yourselves visible and heard."
RT News
Kwani Ukraine iliposhiriki kuivamia Iraq , Nani aliandamana hapa duniani?
Israeli wanapoivamia palestina, wapi raia wa Ukraine waliandamana?View attachment 2163504
Sent using Jamii Forums mobile app
anhaaaNi makubaliano yao ya mwanzo kipindi warsaw pact wanaivunja........shida mmoja anakiuka makubaliano ndo hapo shida inapokuja kwa mrusi
Huku kwetu maandamano ni mwiko., lakini nyoyo zetu zipo upande wa Ukraine, tunaelewa mulilala na asubuhi kuamkia mabomu kila upande, hii haikubaliki na ni jambo la kulaaniwa na kila mtu, sauti zetu tunapaza sana kupitia mitandao na tuna matumaini makubwa Ukraine watashinda hii vita na mwanga tayari ushaonekana juzi warusi wamefurushwa na kurudi nyuma walikotoka 100 kilometers, jana meli 3 za urusi zimeripuliw Kiev, Majenerali 5 wameenda na maji, siku zote tupo pamoja na nanyi, Zelensky ndio rais wa pekee kwa sasa anaestahili kuvanishwa nishani ya ujasiri kwa kuipigania nchi yake bila ya unafiki, tunakupenda sana 💪💪💪💪💪
Sijui Anajikuta nani.Yaani ananikera. Aanze yeye kuandamana.