Sijui Anajikuta nani.Yaani ananikera. Aanze yeye kuandamana.
Mkuu tunalaani mauaji kote kote, sasa ni wakati kuilani russia na Putini kwa mauaji vile vileSioni ajabu hata vita vya iraq, libya, Syria, Afghanistan na palestina ulishabikia wamagharibi!!! Au si hivyo!
Bwege tu huyo waache wafe tu ndio wajue vita ata sisi huku africa inatuumiza ila hutana wa kututeaRais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ameomba dunia kuandamana kupinga operasheni ya Urusi nchini Ukraine. Operesheni ya Urusi nchini Ukraine imesababisha mapigano na vifo vya watu wengi tangu kuanza kwake Februari 24
Rais Zelensky amesema kuisapoti Ukraine ni kusapoti uhuru na Maisha. Ametaka watu waingie mitaani an viwanjani kufanya sauti zao zisikike kuhusu kupinga hatua za Urusi
Mgogoro wa Urusi na Ukraine umesababisha matatizo mengi duniani ikiwemo kupanda kwa bei za mafuta na chakula kwa nchi zinazoendelea
===
Zelensky Urges Global Protests Against Russia
The Ukrainian President has urged citizens around the world go out and protest against Russia's operation in Ukraine.
"Come with Ukrainian symbols to support Ukraine, to support freedom, to support life," Zelensky said in a video address in English. "Come to your squares, to your streets, make yourselves visible and heard."
RT News
Maweeee!! huyu KGB wa kutupwa na kaoza kwa kazi ya ushushu! ....israel waliombwa Mashine za kudaka Mabomu ya Russia waya hudi wa kamstukia mbaya!....anacheza na akili za wajinga NATOHuyu jamaa ni genius katika kipengere cha uigizaji especially kwa upande wa comedy...
Anachonifurahisha zaidi ni kwamba, yeye yupo Polland huku akirekodi video kadhaa akiigiza kama vile bado yupo ndani ya Ukraine.
I LIKE HIM.
Halafu hivi vikwazo vinawaumiza sana watu wa EU na sio hao wa RussiaVikwazo original vimeanza kufanya kazi
Na bado,
Wazungu safari hii kazi munayo
Afadhali wewe umejitahidi mie hata kulisema Hilo jina la ze selesky hata siweziWe Zelewesky ni senke sana,
Huyu ndio anajifanya anawapiga wa Russia kutwa kulia lia maji ya shingo huyoRais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ameomba dunia kuandamana kupinga operasheni ya Urusi nchini Ukraine. Operesheni ya Urusi nchini Ukraine imesababisha mapigano na vifo vya watu wengi tangu kuanza kwake Februari 24
Rais Zelensky amesema kuisapoti Ukraine ni kusapoti uhuru na Maisha. Ametaka watu waingie mitaani an viwanjani kufanya sauti zao zisikike kuhusu kupinga hatua za Urusi
Mgogoro wa Urusi na Ukraine umesababisha matatizo mengi duniani ikiwemo kupanda kwa bei za mafuta na chakula kwa nchi zinazoendelea
===
Zelensky Urges Global Protests Against Russia
The Ukrainian President has urged citizens around the world go out and protest against Russia's operation in Ukraine.
"Come with Ukrainian symbols to support Ukraine, to support freedom, to support life," Zelensky said in a video address in English. "Come to your squares, to your streets, make yourselves visible and heard."
RT News
Yaa Zelensky lazima anyeAtandikwe mpaka Ajinyeee