Rais Zelensky apendekeza dunia kumtambua Rais Putin kama gaidi

Hizo kauli za Zelensiky hazinishangazi kwa sababu tunajua anatumia "madawa ya kulevya"
 
Nenda kasome the Roma statute, umekula ugali ukashiba unaleta hadithi za Buricheka na Wagagagikoko.
Hawa walizoea kuwapa vitisho wasioelewa kitu......kwa sasa dunia imebadilika wao wapo na mikwara yao ya enzi hizo waliorithishwa na mababu zao
 
Ndo tabia zenu vibaraka wakubwa nyie !! kujitetea tayari eti awe katili mlitaka apigwe ndo mfurahi?? USA kule kooote inafuata nini Ukraine??.....

ni sawa .mke umemuacha, simchukii ..........unamuudumia hapo karibu na kwako, afu adui yako anammendea wkt weye mume wa zamani unampelekea hela ya matumizi na analala nyumbani yako!

kwanini huyo Malaya mpenda vya bure vya watu asipigwe??? ........jimke nalo lina shabikia naanza nalo hilo limke kwanza ili liache umalaya! kata hilo liki-Misi tena kwa panga butu!..likome umalaya wa wazi bila aibu!
 
akil zko hazina tofaut na meeeeeeh , Baada ya kujiuliza Urusi kafuata nn Urusi wkt wenyej hawamtak , ww unajiuliuza USA kafuata nn wkt unaona msaada anaotoa kwa Ukraine
 
Uko ovyo sana sijui umeandika upuuzi gan hapa., Russia hana nafasi tena ukraine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…