Mr Why
JF-Expert Member
- Nov 27, 2019
- 2,235
- 4,252
Rejelea kifo cha maraisi wakiwemo Saadam Hussein, Gaddaf na wengineo wengi ikiwemo wa Africa kama Idd Amin na wengineo hii inadhihirisha kuwa raisi anayekandamiza demokrasia basi hung'olewa madarakani kwa lazima.
Marekani haitakuwa tayari kuwaacha maraisi wenye tabia kama hizi kuendelea kutawala kwa mabavu.
Musevi ana jambo la kujifunza kwasababu yeye amekuwa ni mvunjivu wa haki za binadamu jambo ambalo litamgarimu maisha yake siku za mbeleni.
Maraisi wanapaswa kuheshimu demokrasia kwa gharama zote kwani kwakutokufanya hivyo hawatabaki salama.
Marekani haitakuwa tayari kuwaacha maraisi wenye tabia kama hizi kuendelea kutawala kwa mabavu.
Musevi ana jambo la kujifunza kwasababu yeye amekuwa ni mvunjivu wa haki za binadamu jambo ambalo litamgarimu maisha yake siku za mbeleni.
Maraisi wanapaswa kuheshimu demokrasia kwa gharama zote kwani kwakutokufanya hivyo hawatabaki salama.