Zoka Paul Mabusi
Member
- May 16, 2016
- 13
- 1
SERIKALI ZALENDO ILIPASWA IELEZE WATZ NAMNA IMEJIANDAA KUJITOA KTK MASHIRIKA KANDAMIZI KAMA IMF (International Monetary Fund) Ambao wamekuwa wakiendesha sera na uchumi wetu ktk njia ya kunufaisha mataifa ya wazungu. Namtaka Raisi John .
Pombe Magufuli atoe tamko ya namna tutachukua pesa zetu ktk Special Drawing Rights -SDRs au kiuchumi tunaita PAPER GOLD akaunti Tz tumefungua ndani ya IMF- SDR 551.35 million USD (397.8 million SDR).
KAMA SOUTH AFRICA WANAVYOTAKA KUTOA NCHI YAO KTK MAHAKAMA YA UHALIFU YA KIMATAIFA AMBAYO PIA NIKAMA IMF na uonevu wa riba kubwa
Pombe Magufuli atoe tamko ya namna tutachukua pesa zetu ktk Special Drawing Rights -SDRs au kiuchumi tunaita PAPER GOLD akaunti Tz tumefungua ndani ya IMF- SDR 551.35 million USD (397.8 million SDR).
KAMA SOUTH AFRICA WANAVYOTAKA KUTOA NCHI YAO KTK MAHAKAMA YA UHALIFU YA KIMATAIFA AMBAYO PIA NIKAMA IMF na uonevu wa riba kubwa