Raisi awaidhinisha wahindi kama kabila la 44 nchini Kenya

Haha wewe unajua kingereza umeandika kingereza ndo nastajabu why hata Mimi nimeweza kusoma hali sijui kingereza

2 Timotheo:4.2
lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
 
Kumbe hata wewe hujui!? Sasa kwa nini unalaumu

2 Timotheo:4.2
lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
 


You are right.The first time I went Nairobi I was impressed to see atlist every Kenyan is fluent in 3 languages.Swahili,English and his/her mother tongue.
 
Nasi Rais Magufuli awaidhinisha Wahutu na Watusi kama Kabila la 123 Tanzania.

sent by Samson Cyper
 
Si kweli.

Nyerere hakukuta watu ambao hawajaungana,

Kiswahili alikikuta kinaongewa tayari hata kwao.

Msitake kuleta historia ambayo haikuwepo.
Alichokifanya Nyerere Sio kuunganisha kwa kiswahili yeye alichofanya aliua tawala zote za kikabila kama watemi na mangi then kawachangannya Watu mtoto wa mbeya anaenda kusoma moshi wa mwanza anasoma arusha wa moshi anaenda Dar nk. Na lugha hapo ni kiswahili so Watu wenyewe kwa kuchanganywa huko wakaoleana na kuungana kuwa kitu kimoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…