moody kabwe
Member
- Mar 13, 2015
- 76
- 21
Rais kikwete amewataka watanzania kuungana pamoja kuiombea yanga hata kwa wale wasio mashabiki wa yanga mikia na wengine wote. Imetolewa na wizara ya Habari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais kikwete amewataka watanzania kuungana pamoja kuiombea yanga hata kwa wale wasio mashabiki wa yanga mikia na wengine wote. Imetolewa na wizara ya Habari
Kuiombea nini?
Wameenda kufanya shopping Tunisia!!! hata wachezaji wanajua wanaenda kukamilisha ratiba baada ya hapo waingie madukani kununua pamba za kwendea escape one!!
Mwenye historia ya kimataifa ni Simba peke yake.. maana keshagawa dozi kote huko!!
Bingwa wa ligi ya Bongo ni kama mwanafunzi aliyefaulu kwa madesa na kununua paper!!.. Huwaga sioni impact ya YANGA kwenye michuano ya Kimtaifa,, angalau Simba hata Mwarabu akiambiwa kapangiwa mnyama chupi inambana!!
Tuombeeni Simba tuchukue nafasi ya pili.. ili tuanze na ninyi kwenye ngao ya hisani mapema!!
Wameenda kufanya shopping Tunisia!!! hata wachezaji wanajua wanaenda kukamilisha ratiba baada ya hapo waingie madukani kununua pamba za kwendea escape one!!
Mwenye historia ya kimataifa ni Simba peke yake.. maana keshagawa dozi kote huko!!
Bingwa wa ligi ya Bongo ni kama mwanafunzi aliyefaulu kwa madesa na kununua paper!!.. Huwaga sioni impact ya YANGA kwenye michuano ya Kimtaifa,, angalau Simba hata Mwarabu akiambiwa kapangiwa mnyama chupi inambana!!
Tuombeeni Simba tuchukue nafasi ya pili.. ili tuanze na ninyi kwenye ngao ya hisani mapema!!
acha masikhara wewe nafasi ya pili tu unahitaji maombi ya kufunga kabisa.mechi za kimataifa sio itakuwa hadi kutoa kafara km zile mechi na kagera au kuwakuta ya libolo?
Wameenda kufanya shopping Tunisia!!! hata wachezaji wanajua wanaenda kukamilisha ratiba baada ya hapo waingie madukani kununua pamba za kwendea escape one!!
Mwenye historia ya kimataifa ni Simba peke yake.. maana keshagawa dozi kote huko!!
Bingwa wa ligi ya Bongo ni kama mwanafunzi aliyefaulu kwa madesa na kununua paper!!.. Huwaga sioni impact ya YANGA kwenye michuano ya Kimtaifa,, angalau Simba hata Mwarabu akiambiwa kapangiwa mnyama chupi inambana!!
Tuombeeni Simba tuchukue nafasi ya pili.. ili tuanze na ninyi kwenye ngao ya hisani mapema!!
libolo ndo saizi yenu...mlishinda kombe gan caf nyie? Enyimba iliwafanyaje? Hizo za egypt zenyewe hamziwez na mlivobahatisha ndo ndo makele as if you won the trophy.. Shame upon you mikia fc fans..mtasubir sana
:d :d :d :d :d
Mnyama hakopeshi.. Uzuri wa soka hauna longolongo kama siasa ni statistics tu!!..
Nyie si mabingwa wa Ligi Kuu bara..haya watoeni waarabu! YANGA tangu izaliwe haijawahi kuwatoa waarabu huo ndiyo ukweli..
Angekuwa mnyama hapo.. uhakika aslimia 50!! Sasa nyie Kandambili yeboyebo mmeanda kufanya shopping tu!! Najua ukweli mchungu sina budi kuusema!!
Faizafox upo kila mahali kama tigo!!!!!!
Wameenda kufanya shopping Tunisia!!! hata wachezaji wanajua wanaenda kukamilisha ratiba baada ya hapo waingie madukani kununua pamba za kwendea escape one!!
Mwenye historia ya kimataifa ni Simba peke yake.. maana keshagawa dozi kote huko!!
Bingwa wa ligi ya Bongo ni kama mwanafunzi aliyefaulu kwa madesa na kununua paper!!.. Huwaga sioni impact ya YANGA kwenye michuano ya Kimtaifa,, angalau Simba hata Mwarabu akiambiwa kapangiwa mnyama chupi inambana!!
Tuombeeni Simba tuchukue nafasi ya pili.. ili tuanze na ninyi kwenye ngao ya hisani mapema!!