Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Mwambie mhudumu akuongezee kinywaji, mimi nitalipa. Umemchapa kofi la uso huyowewe hukushangaa ya lowasa kujiunga upinzani uzeeni baada ya kumaliza ujana wake ccm?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie mhudumu akuongezee kinywaji, mimi nitalipa. Umemchapa kofi la uso huyowewe hukushangaa ya lowasa kujiunga upinzani uzeeni baada ya kumaliza ujana wake ccm?
But this one is too late better never.better late than never.
Lowasa katokea wapi hapa wewee??wewe hukushangaa ya lowasa kujiunga upinzani uzeeni baada ya kumaliza ujana wake ccm?
Nimeipenda hii kali...eti mtu aliyekuwa madarakani miezi 6 anakuwa role model wa mtu mwenye uzoefu wa miaka 30..this is very interestingMagufuli ndo role model wake kwa sasa, nadhani atajitahidi kuwageuka aliofungamana nao
TRUMPH NJOO UONE HUKU AFRICA WANAVOIFANYA DEMOCRACYNi ahadi aliyotoa baada ya kuapishwa leo!
Cha kushangaza amekuwa raisi wa uganda kwa miaka 30, leo ndio anaaminisha wananchi wake kuwa atapambana na ufisadi katika miaka hii mitano!
Lets wait, Lakini Siasa za afrika ni SIIHASA!
HILI NALO NENOOOwewe hukushangaa ya lowasa kujiunga upinzani uzeeni baada ya kumaliza ujana wake ccm?