Raisi Samia kafanya ziara nchini Korea ya Kusini leo 31/05/2024

Raisi Samia kafanya ziara nchini Korea ya Kusini leo 31/05/2024

Comred Mbwana Allyamtu

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2016
Posts
351
Reaction score
887
Raisi Samia kafanya ziara nchini Korea ya kusini mapema leo, ntaingusia Korea kusini kidogo leo.

Nchi ya Korea kusini ilianzishwa mwaka 918, wakati wa mgawanyiko wa maeneo ya koo tatu zilizoitwa "Three Kingdoms" koo hizo zilikuwa ni ukoo wa Goryeo, ukoo wa Silla na ukoo wa Baekje.

Koo hizi zilizoitwa "Three kingdom", ziliunda utawala wao eneo ambalo leo ndio huitwa "Peninsula ya Korea" koo ya Silla ilianzisha wazo la kuunda dola moja, kwa kiasi ikafanikiwa ila baadae wazo hilo likianguka kutokana na wasaliti kadhaa, hapa kulipita mengi ntaeleza wakati mwingine.

Tuendelee na Korea kusini...

Jina Korea linatokana na Ukoo wa Goryeo kwasababu wao ndio walio fanikiwa kuanzishwa "muungano wa kweli wa kitaifa" wa taifa la Korea ya Leo.

Wanahistoria wanaeleza kuwa Jina "Korea" linatokana na jina la Goryeo, ambalo pia limetafsiriwa kama Koryŏ, ambalo lilitumiwa kwa mara ya kwanza mwanzoni mwa karne ya 5 na ukoo wa Goguryeo.

Ukoo wa Goryeo ulikuwa dola iliyoitwa baadaye Goguryeo na baade Goguryeo, ndio ilianzisha nchi ya Korea yote yani kaskazini na kusini chini ya mfalme wa kwanza aliyeitwa Taejo of Joseon.

Turudi kwenye ziara ya Raisi Samia...

Raisi wetu Samia leo alipo wasili Korea kusini ameshukia uwanja wa ndege wa jeshi wa Sejong, uwanja huu umepewa jina hilo "Sejong" kurejea heshima ya mfalme wa nne wa Korea aliyeitwa Sejong the great.

Huyu Sejong the great ndie anaye chukuliwa kuwa mmoja wa watawala wakuu katika historia ya Korea na anakumbukwa kuwa mwanzilishi wa lahaja ya "Hangul" ambayo ndio iliyo zaa alfabeti ya asili ya lugha ya Kikorea.

Sasa Basi...

Mji mkuu mpya wa Korea kusini umepewa jina hilo la Sejong city, mji huu ulianziswa mwaka 2007, kama mji mkuu mpya wa Korea Kusini kutoka mkoa wa Chungcheong Kusini na baadhi ya maeneo ya mkoa wa Chungcheong Kaskazini ili kupunguza msongamano katika jiji kuu la sasa la Korea Kusini na jiji kubwa la Seoul.

Tangu 2012, serikali ya Korea Kusini imehamisha wizara na mashirika mengi ya serekali hadi Sejong, lakini shughuli nyinginezo za serikali bado zimebakia Seoul hasa Bunge la Kitaifa na ikulu ya serikali iitwayo Blue House yamesalia Seoul.

Ziara ya Mama Samia imeanza katika jiji hili la Sejong, hapa ndio ataanza ziara yake.

Ndimi Comred Mbwana Allyamtu-CMCA
Friday -31/05/2024
Marangu Kilimanjaro Tanzania.

Soma:
- Ziara ya Rais Samia Korea Kusini atasaini Mkopo wa Tsh. Trilioni 6.51
 
Kila siku wanasema ATCL inaingia hasara, sasa waone hasara huwa inakujaje.

Kina Nchimbi wanatumia ndege kusafiri shughuli za chama na hawalipi.

Rais yeye anaishi angani, anapiga simu kutafuta sehemu za kwenda.

Yani kuomba pesa huwezi kuomba kwa simu, mpaka uende?

Kama urais ni kuomba omba, kwanini asipewe Matonya hiyo kazi?
 
Ziara ya Mama Samia imeanza katika jiji hili la Sejong, hapa ndio ataanza ziara yake.
Sijajuwa kama wewe ni "CHAWA" au vipi, lakini nakushukuru kwa historia hiyo fupi ya mambo ya kale.

Ingependeza sana..., Hapana. Andiko lako lingekuwa na manufaa makubwa sana kwa wasomaji hapa JF kama ungetumia muda wako na utaalam wako kuhusu hiyo Korea ya Kusini, kama ungejikita katika maswala ya maendeleo ya nchi hiyo, toka mwaka 1948, wakati wakitoka kwenye vita, ikiwa maskini wa kutupwa kabisa na kukumbwa na janga la njaa. Miaka ya 1960, wakati nchi zetu hizi zikipata kinachoitwa uhuru, hali ya Korea kimaendeleo haikuwa tofauti kabisa na hizi nchi za Kiafrika.
Kwa hiyo, ungejikita kwenye eneo hilo, jinsi walivyoweza kujinasua na kutuacha mbali kabisa sisi, hapo andiko lako lingekuwa na mashiko sana.

Nimalize kwa kukuuliza swali, kwa vile unaonyesha kuvutiwa na ziara ya rais wetu huko Korea.
Je, Korea na wao walitumia muda wao mwingi sana kutembeza bakuri duniani wakisaka watu wa kuwaletea maendeleo yao waliyo nayo sasa?

Natumaini utapata muda mzuri wa kunisoma bila ya mihemuko, na ikikupendeza, utatuonyesha umahiri wako juu ya maswala ya Korea Kusini.

Sijui mama safari hii atarudi na kapu la mabilioni mangapi, maana safari zake zote, toka Indonesia, UAE, na kwingineko kote tunaambiwa mabilioni hupatikana kwa safari hizo. Nina hakika tutaendelea haraka sana kwa mwendo huu.
 
Huyu ni komredi kweli. Labda ana picha ya Putin kwenye ukuta wa chumba chake.
 
Hawa wakorea wanatafuta ushawishi Afrika wakiiga China, wanaipenda sana Tanzania, ni vizuri kuwatumia kupata mkopo mkubwa wa kumaliza kujenga SGR Dar/Mwanza-Kigoma. Ile reli itatulipa sana kwa kusafirisha haraka mizigo ya nchi jirani na kuua bandari za majirani, hayo ni maono makubwa ya Magu baada ya Kenya kufanya ufisadi na reli yao ya SGR kwa kuishia njiani huku wakitakiwa kulipa deni kubwa. Wakorea ni marafiki wa kweli tuwatumie.
 
Raisi Samia kafanya ziara nchini Korea ya kusini mapema leo, ntaingusia Korea kusini kidogo leo.

Nchi ya Korea kusini ilianzishwa mwaka 918, wakati wa mgawanyiko wa maeneo ya koo tatu zilizoitwa "Three Kingdoms" koo hizo zilikuwa ni ukoo wa Goryeo, ukoo wa Silla na ukoo wa Baekje.

Koo hizi zilizoitwa "Three kingdom", ziliunda utawala wao eneo ambalo leo ndio huitwa "Peninsula ya Korea" koo ya Silla ilianzisha wazo la kuunda dola moja, kwa kiasi ikafanikiwa ila baadae wazo hilo likianguka kutokana na wasaliti kadhaa, hapa kulipita mengi ntaeleza wakati mwingine.

Tuendelee na Korea kusini...

Jina Korea linatokana na Ukoo wa Goryeo kwasababu wao ndio walio fanikiwa kuanzishwa "muungano wa kweli wa kitaifa" wa taifa la Korea ya Leo.

Wanahistoria wanaeleza kuwa Jina "Korea" linatokana na jina la Goryeo, ambalo pia limetafsiriwa kama Koryŏ, ambalo lilitumiwa kwa mara ya kwanza mwanzoni mwa karne ya 5 na ukoo wa Goguryeo.

Ukoo wa Goryeo ulikuwa dola iliyoitwa baadaye Goguryeo na baade Goguryeo, ndio ilianzisha nchi ya Korea yote yani kaskazini na kusini chini ya mfalme wa kwanza aliyeitwa Taejo of Joseon.

Turudi kwenye ziara ya Raisi Samia...

Raisi wetu Samia leo alipo wasili Korea kusini ameshukia uwanja wa ndege wa jeshi wa Sejong, uwanja huu umepewa jina hilo "Sejong" kurejea heshima ya mfalme wa nne wa Korea aliyeitwa Sejong the great.

Huyu Sejong the great ndie anaye chukuliwa kuwa mmoja wa watawala wakuu katika historia ya Korea na anakumbukwa kuwa mwanzilishi wa lahaja ya "Hangul" ambayo ndio iliyo zaa alfabeti ya asili ya lugha ya Kikorea.

Sasa Basi...

Mji mkuu mpya wa Korea kusini umepewa jina hilo la Sejong city, mji huu ulianziswa mwaka 2007, kama mji mkuu mpya wa Korea Kusini kutoka mkoa wa Chungcheong Kusini na baadhi ya maeneo ya mkoa wa Chungcheong Kaskazini ili kupunguza msongamano katika jiji kuu la sasa la Korea Kusini na jiji kubwa la Seoul.

Tangu 2012, serikali ya Korea Kusini imehamisha wizara na mashirika mengi ya serekali hadi Sejong, lakini shughuli nyinginezo za serikali bado zimebakia Seoul hasa Bunge la Kitaifa na ikulu ya serikali iitwayo Blue House yamesalia Seoul.

Ziara ya Mama Samia imeanza katika jiji hili la Sejong, hapa ndio ataanza ziara yake.

Ndimi Comred Mbwana Allyamtu-CMCA
Friday -31/05/2024
Marangu Kilimanjaro Tanzania.

Soma:
- Ziara ya Rais Samia Korea Kusini atasaini Mkopo wa Tsh. Trilioni 6.51
 
Raisi Samia kafanya ziara nchini Korea ya kusini mapema leo, ntaingusia Korea kusini kidogo leo.

Nchi ya Korea kusini ilianzishwa mwaka 918, wakati wa mgawanyiko wa maeneo ya koo tatu zilizoitwa "Three Kingdoms" koo hizo zilikuwa ni ukoo wa Goryeo, ukoo wa Silla na ukoo wa Baekje.

Koo hizi zilizoitwa "Three kingdom", ziliunda utawala wao eneo ambalo leo ndio huitwa "Peninsula ya Korea" koo ya Silla ilianzisha wazo la kuunda dola moja, kwa kiasi ikafanikiwa ila baadae wazo hilo likianguka kutokana na wasaliti kadhaa, hapa kulipita mengi ntaeleza wakati mwingine.

Tuendelee na Korea kusini...

Jina Korea linatokana na Ukoo wa Goryeo kwasababu wao ndio walio fanikiwa kuanzishwa "muungano wa kweli wa kitaifa" wa taifa la Korea ya Leo.

Wanahistoria wanaeleza kuwa Jina "Korea" linatokana na jina la Goryeo, ambalo pia limetafsiriwa kama Koryŏ, ambalo lilitumiwa kwa mara ya kwanza mwanzoni mwa karne ya 5 na ukoo wa Goguryeo.

Ukoo wa Goryeo ulikuwa dola iliyoitwa baadaye Goguryeo na baade Goguryeo, ndio ilianzisha nchi ya Korea yote yani kaskazini na kusini chini ya mfalme wa kwanza aliyeitwa Taejo of Joseon.

Turudi kwenye ziara ya Raisi Samia...

Raisi wetu Samia leo alipo wasili Korea kusini ameshukia uwanja wa ndege wa jeshi wa Sejong, uwanja huu umepewa jina hilo "Sejong" kurejea heshima ya mfalme wa nne wa Korea aliyeitwa Sejong the great.

Huyu Sejong the great ndie anaye chukuliwa kuwa mmoja wa watawala wakuu katika historia ya Korea na anakumbukwa kuwa mwanzilishi wa lahaja ya "Hangul" ambayo ndio iliyo zaa alfabeti ya asili ya lugha ya Kikorea.

Sasa Basi...

Mji mkuu mpya wa Korea kusini umepewa jina hilo la Sejong city, mji huu ulianziswa mwaka 2007, kama mji mkuu mpya wa Korea Kusini kutoka mkoa wa Chungcheong Kusini na baadhi ya maeneo ya mkoa wa Chungcheong Kaskazini ili kupunguza msongamano katika jiji kuu la sasa la Korea Kusini na jiji kubwa la Seoul.

Tangu 2012, serikali ya Korea Kusini imehamisha wizara na mashirika mengi ya serekali hadi Sejong, lakini shughuli nyinginezo za serikali bado zimebakia Seoul hasa Bunge la Kitaifa na ikulu ya serikali iitwayo Blue House yamesalia Seoul.

Ziara ya Mama Samia imeanza katika jiji hili la Sejong, hapa ndio ataanza ziara yake.

Ndimi Comred Mbwana Allyamtu-CMCA
Friday -31/05/2024
Marangu Kilimanjaro Tanzania.

Soma:
- Ziara ya Rais Samia Korea Kusini atasaini Mkopo wa Tsh. Trilioni 6.51
Si tumekubaliana kuwa Lucas Mwashambwa ndiye msemaji wa Rais hapa JF.
 
Mwenye kuweza kutuhesabia faida za safari 357 alizozifanya JK,kwenye utawala wake tafadhali
 
Raisi Samia kafanya ziara nchini Korea ya kusini mapema leo, ntaingusia Korea kusini kidogo leo.

Nchi ya Korea kusini ilianzishwa mwaka 918, wakati wa mgawanyiko wa maeneo ya koo tatu zilizoitwa "Three Kingdoms" koo hizo zilikuwa ni ukoo wa Goryeo, ukoo wa Silla na ukoo wa Baekje.

Koo hizi zilizoitwa "Three kingdom", ziliunda utawala wao eneo ambalo leo ndio huitwa "Peninsula ya Korea" koo ya Silla ilianzisha wazo la kuunda dola moja, kwa kiasi ikafanikiwa ila baadae wazo hilo likianguka kutokana na wasaliti kadhaa, hapa kulipita mengi ntaeleza wakati mwingine.

Tuendelee na Korea kusini...

Jina Korea linatokana na Ukoo wa Goryeo kwasababu wao ndio walio fanikiwa kuanzishwa "muungano wa kweli wa kitaifa" wa taifa la Korea ya Leo.

Wanahistoria wanaeleza kuwa Jina "Korea" linatokana na jina la Goryeo, ambalo pia limetafsiriwa kama Koryŏ, ambalo lilitumiwa kwa mara ya kwanza mwanzoni mwa karne ya 5 na ukoo wa Goguryeo.

Ukoo wa Goryeo ulikuwa dola iliyoitwa baadaye Goguryeo na baade Goguryeo, ndio ilianzisha nchi ya Korea yote yani kaskazini na kusini chini ya mfalme wa kwanza aliyeitwa Taejo of Joseon.

Turudi kwenye ziara ya Raisi Samia...

Raisi wetu Samia leo alipo wasili Korea kusini ameshukia uwanja wa ndege wa jeshi wa Sejong, uwanja huu umepewa jina hilo "Sejong" kurejea heshima ya mfalme wa nne wa Korea aliyeitwa Sejong the great.

Huyu Sejong the great ndie anaye chukuliwa kuwa mmoja wa watawala wakuu katika historia ya Korea na anakumbukwa kuwa mwanzilishi wa lahaja ya "Hangul" ambayo ndio iliyo zaa alfabeti ya asili ya lugha ya Kikorea.

Sasa Basi...

Mji mkuu mpya wa Korea kusini umepewa jina hilo la Sejong city, mji huu ulianziswa mwaka 2007, kama mji mkuu mpya wa Korea Kusini kutoka mkoa wa Chungcheong Kusini na baadhi ya maeneo ya mkoa wa Chungcheong Kaskazini ili kupunguza msongamano katika jiji kuu la sasa la Korea Kusini na jiji kubwa la Seoul.

Tangu 2012, serikali ya Korea Kusini imehamisha wizara na mashirika mengi ya serekali hadi Sejong, lakini shughuli nyinginezo za serikali bado zimebakia Seoul hasa Bunge la Kitaifa na ikulu ya serikali iitwayo Blue House yamesalia Seoul.

Ziara ya Mama Samia imeanza katika jiji hili la Sejong, hapa ndio ataanza ziara yake.

Ndimi Comred Mbwana Allyamtu-CMCA
Friday -31/05/2024
Marangu Kilimanjaro Tanzania.

Soma:
- Ziara ya Rais Samia Korea Kusini atasaini Mkopo wa Tsh. Trilioni 6.51
Tumechoka Tumemchoka!! Hizo ziara zinamounguzia umaarufu nchini kwake!!

Tatizo tulilonalo Watanzania siyo kupatikana Kwa hiyo mikopo bali wizi wa hizo fedha za mikopo na watu kutochukuliwa hatua.

Hoja yetu ni hatua zinachukuliwa dhidi ya wadokozi??
 
Kila siku wanasema ATCL inaingia hasara, sasa waone hasara huwa inakujaje.

Kina Nchimbi wanatumia ndege kusafiri shughuli za chama na hawalipi.

Rais yeye anaishi angani, anapiga simu kutafuta sehemu za kwenda.

Yani kuomba pesa huwezi kuomba kwa simu, mpaka uende?

Kama urais ni kuomba omba, kwanini asipewe Matonya hiyo kazi?
Ha ha haaa. Eti anapiga simu kuomba ziara
 
Vp una report ukiwa kwenye msafara wake au ndiyo wenzangu
Na wale,mko maghetoni bongo

Ova
 
Ha ha haaa. Eti anapiga simu kuomba ziara
Kuishi angani Raha, lini atarudi ardhini? Akitoka Korea utasikia kaenda Singapore ilimradi asipambane na matatizo yetu. Tutamuona wakati wa kampeni ukifika.
 
Raisi Samia kafanya ziara nchini Korea ya kusini mapema leo, ntaingusia Korea kusini kidogo leo.

Nchi ya Korea kusini ilianzishwa mwaka 918, wakati wa mgawanyiko wa maeneo ya koo tatu zilizoitwa "Three Kingdoms" koo hizo zilikuwa ni ukoo wa Goryeo, ukoo wa Silla na ukoo wa Baekje.

Koo hizi zilizoitwa "Three kingdom", ziliunda utawala wao eneo ambalo leo ndio huitwa "Peninsula ya Korea" koo ya Silla ilianzisha wazo la kuunda dola moja, kwa kiasi ikafanikiwa ila baadae wazo hilo likianguka kutokana na wasaliti kadhaa, hapa kulipita mengi ntaeleza wakati mwingine.

Tuendelee na Korea kusini...

Jina Korea linatokana na Ukoo wa Goryeo kwasababu wao ndio walio fanikiwa kuanzishwa "muungano wa kweli wa kitaifa" wa taifa la Korea ya Leo.

Wanahistoria wanaeleza kuwa Jina "Korea" linatokana na jina la Goryeo, ambalo pia limetafsiriwa kama Koryŏ, ambalo lilitumiwa kwa mara ya kwanza mwanzoni mwa karne ya 5 na ukoo wa Goguryeo.

Ukoo wa Goryeo ulikuwa dola iliyoitwa baadaye Goguryeo na baade Goguryeo, ndio ilianzisha nchi ya Korea yote yani kaskazini na kusini chini ya mfalme wa kwanza aliyeitwa Taejo of Joseon.

Turudi kwenye ziara ya Raisi Samia...

Raisi wetu Samia leo alipo wasili Korea kusini ameshukia uwanja wa ndege wa jeshi wa Sejong, uwanja huu umepewa jina hilo "Sejong" kurejea heshima ya mfalme wa nne wa Korea aliyeitwa Sejong the great.

Huyu Sejong the great ndie anaye chukuliwa kuwa mmoja wa watawala wakuu katika historia ya Korea na anakumbukwa kuwa mwanzilishi wa lahaja ya "Hangul" ambayo ndio iliyo zaa alfabeti ya asili ya lugha ya Kikorea.

Sasa Basi...

Mji mkuu mpya wa Korea kusini umepewa jina hilo la Sejong city, mji huu ulianziswa mwaka 2007, kama mji mkuu mpya wa Korea Kusini kutoka mkoa wa Chungcheong Kusini na baadhi ya maeneo ya mkoa wa Chungcheong Kaskazini ili kupunguza msongamano katika jiji kuu la sasa la Korea Kusini na jiji kubwa la Seoul.

Tangu 2012, serikali ya Korea Kusini imehamisha wizara na mashirika mengi ya serekali hadi Sejong, lakini shughuli nyinginezo za serikali bado zimebakia Seoul hasa Bunge la Kitaifa na ikulu ya serikali iitwayo Blue House yamesalia Seoul.

Ziara ya Mama Samia imeanza katika jiji hili la Sejong, hapa ndio ataanza ziara yake.

Ndimi Comred Mbwana Allyamtu-CMCA
Friday -31/05/2024
Marangu Kilimanjaro Tanzania.

Soma:
- Ziara ya Rais Samia Korea Kusini atasaini Mkopo wa Tsh. Trilioni 6.51
Mi nashangaa raisi anaacha ameuza bandari Gati no. 2 kwa mhindi anaenda Korea kukopa

Hivi bandari si inaweza kufidia hiyo akisi ya bajeti ikiwa tutaweza kuimanage vizuri bila ufisadi

Ya Nini raisi kwenda kuaibika kwa kuombaomba

Dk. Mwigulu tunatokaje hapa

Hii yote ni kwa sababu ya kuogopa untouchable wanaomiliki uchumi wa nchi raisi anageuzwa kibaraka,

wamejificha kwenye mikataba ya kimataifa wakijiaminisha haivunjiki kirahisi vinginevyo serikali italipa hela nyingi

nayeye anaamua atafute popote palipobaki apige yeye na jamaa zake

Mambo yakiwa magumu ndani anaenda kukopa kweli??
 
Back
Top Bottom