Raisi samora machel alihutubia masaa saba wima juani iringa

Raisi samora machel alihutubia masaa saba wima juani iringa

East African Eagle

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2013
Posts
3,759
Reaction score
2,206
Hotuba ndefu niliyowahi kuisikiliza Tanzania ni ile ya Raisi Samora Machel aliyohutubia mwaka 1975 uwanja wa Samora Machel pale Iringa mjini alipofika kutoa shukrani kwa Tanzania kuhifadhi na kufundisha wapigania uhuru wa Msumbiji.Alikuwa na mkalimani wa kireno aliyekuwa akitafsiri kireno kwenda kiswahili

Akiwa amevaa nguo za kaki za kijeshi na kofia ya kaki ya kijeshi na akiwa amesimama kijukwaa cha wazi juani alihutubia mfululizo kwa masaa saba bila kupumzika wala kuomba maji ya kunywa.

Mwanaume alikuwa na stamina ya kuhutubia.Nilimkubali kuwa kijeshi alikuwa fit.
 
Hotuba ndefu niliyowahi kuisikiliza Tanzania ni ile ya Raisi Samora Machel aliyohutubia mwaka 1975 uwanja wa Samora Machel pale Iringa mjini alipofika kutoa shukrani kwa Tanzania kuhifadhi na kufundisha wapigania uhuru wa Msumbiji.Alikuwa na mkalimani wa kireno aliyekuwa akitafsiri kireno kwenda kiswahili

Akiwa amevaa nguo za kaki za kijeshi na kofia ya kaki ya kijeshi na akiwa amesimama kijukwaa cha wazi juani alihutubia mfululizo kwa masaa saba bila kupumzika wala kuomba maji ya kunywa.

Mwanaume alikuwa na stamina ya kuhutubia.Nilimkubali kuwa kijeshi alikuwa fit.

Jamaa alikuwa mwanaume wa shoka hata kwenye mikutano yake kama utapata kuona picha zake the guy was ready at any time ..... ..... ..... what a leader sio hawa wezi wa kwetu wanaotuibia kila kukicha.
 
Hotuba ndefu niliyowahi kuisikiliza Tanzania ni ile ya Raisi Samora Machel aliyohutubia mwaka 1975 uwanja wa Samora Machel pale Iringa mjini alipofika kutoa shukrani kwa Tanzania kuhifadhi na kufundisha wapigania uhuru wa Msumbiji.Alikuwa na mkalimani wa kireno aliyekuwa akitafsiri kireno kwenda kiswahili

Akiwa amevaa nguo za kaki za kijeshi na kofia ya kaki ya kijeshi na akiwa amesimama kijukwaa cha wazi juani alihutubia mfululizo kwa masaa saba bila kupumzika wala kuomba maji ya kunywa.

Mwanaume alikuwa na stamina ya kuhutubia.Nilimkubali kuwa kijeshi alikuwa fit.

hii nayo ni habari? ijazie basi maneno gani yalizungumzwa na sio kama ile hadithi ya jamaa aliendaaaaa akaendaaaa akaenda akaendaaaa.. yaani akaendaaaaa na hadithi imeisha.. unadhani watu waelewe kipi sasa.... ujazaji wa server huu.... weka wazi kama ni record ya Dunia au vipi tuelewe... Samora Alipokufa Nyerere alilia na Kutokwa Machozi ?
 
hii nayo ni habari? ijazie basi maneno gani yalizungumzwa na sio kama ile hadithi ya jamaa aliendaaaaa akaendaaaa akaenda akaendaaaa.. yaani akaendaaaaa na hadithi imeisha.. unadhani watu waelewe kipi sasa.... ujazaji wa server huu.... weka wazi kama ni record ya Dunia au vipi tuelewe... Samora Alipokufa Nyerere alilia na Kutokwa Machozi ?

kwan ww umeambiwa ni habari tu ndio zinakaa humu?kulia kwa nyerere kunahusiana nini na hotuba ya masaa saba?jamaa kasema mengne,ww unaleta mengne,anzsha uzi wako ukisema nyerere hakulia machoz alipokufa samora,
 
Mwanaume anayeshikilia rekodi ya Speech ya muda mrefu ni Comrade Hugo Chavez ambaye Jan 13, 2012 alihutubia huko Venezuela kwa masaa 9 na nusu ... Fidel Castro anafuatia kwa masaa 7. na dakika 10..

Kumbuka hata kama ni wakomunist lakini hotuba zao zilijaa uana-mapinduzi, nini watafanya kwa nchi zao na vijembe kwa zile nchi wanazoona ni maadui kama Marekani na siyo kuvuana nguo wenyewe kwa wenyewe, au nani kachukua mke wa mwenzake ..

Siasa za nyumbani kwa sasa zimejaa ubinafsi zaidi kuliko uanamapinduzi (Patriotism) .. vijana wa sasa wako tayari kufa kwa ajili ya maswahiba wao hata kama hao maswahiba sio wasafi .. Vijana hawako tayari kufa kwa ajili ya taifa lao labda tu kwa ajili ya hela .. Kama Idi Amin angetuvamia leo tungepigwa hadi uvunguni mwa vitanda kwani kazi tungewaachia JWTZ tu...

Jaribu kuogopa siku ya kesho kuliko siku ya jana.. Tumia nguvu yako kupigana na umasikini wako kuliko kupigana kwa ajili ya siasa za rushwa ambazo zinapoteza muda wa kutafuta maendeleo.. Tutapigika hadi tutakapopata siasa za maendeleo ya kweli kuliko hizi za ndoto za alinacha...
 
kuna na speech ya William Henry Harrison rais wa marekani.aliitoa kwenye baridi kali bila ya koti wala kofia.alikuwa kamanda kweli.ila naskia alifariki baada ya kuugua pneumonia
 
hii nayo ni habari? ijazie basi maneno gani yalizungumzwa na sio kama ile hadithi ya jamaa aliendaaaaa akaendaaaa akaenda akaendaaaa.. yaani akaendaaaaa na hadithi imeisha.. unadhani watu waelewe kipi sasa.... ujazaji wa server huu.... weka wazi kama ni record ya Dunia au vipi tuelewe... Samora Alipokufa Nyerere alilia na Kutokwa Machozi ?

Andika yako na ujaze maneno yanayoelezea machozi ya Nyerere au record za dunia.. Muhimu kwako sio lazima kiwe muhimu kwa wengine.
 
hii nayo ni habari? ijazie basi maneno gani yalizungumzwa na sio kama ile hadithi ya jamaa aliendaaaaa akaendaaaa akaenda akaendaaaa.. yaani akaendaaaaa na hadithi imeisha.. unadhani watu waelewe kipi sasa.... ujazaji wa server huu.... weka wazi kama ni record ya Dunia au vipi tuelewe... Samora Alipokufa Nyerere alilia na Kutokwa Machozi ?

Kwanza alilileta mkosi tu uwanja umepewa jina lake umekuwa mbaya uwanja ule ungekuwa na jina la jf kennedy ungejengwa safi
 
kwan ww umeambiwa ni habari tu ndio zinakaa humu?kulia kwa nyerere kunahusiana nini na hotuba ya masaa saba?jamaa kasema mengne,ww unaleta mengne,anzsha uzi wako ukisema nyerere hakulia machoz alipokufa samora,

Andika yako na ujaze maneno yanayoelezea machozi ya Nyerere au record za dunia.. Muhimu kwako sio lazima kiwe muhimu kwa wengine.

Sikieni nyie nilichosema habari yake haieleweki kama ni Samora kaweka Record au ipo sehemu inapopatikana hiyo Speech..! haijaeleweka... Mliataka niandike mimi vipi kwani! au nyie ndio nimewauliza?
 
Kwanza alilileta mkosi tu uwanja umepewa jina lake umekuwa mbaya uwanja ule ungekuwa na jina la jf kennedy ungejengwa safi

unatania au umemaanisha? kama unamaanisha basi wewe uko na fikra mbovu sana hata ungetwa bill gates stadium bado ungekuwa na taswira hii ya leo
 
Sikieni nyie nilichosema habari yake haieleweki kama ni Samora kaweka Record au ipo sehemu inapopatikana hiyo Speech..! haijaeleweka... Mliataka niandike mimi vipi kwani! au nyie ndio nimewauliza?

Post inaeleweka ila we ndo huelewi hivyo andika wewe yako watu wachangie. Nani kakwambia post zote lazima ziwe ni "habari"? We ndio unachagua wa kujibu?
 
Sikieni nyie nilichosema habari yake haieleweki kama ni Samora kaweka Record au ipo sehemu inapopatikana hiyo Speech..! haijaeleweka... Mliataka niandike mimi vipi kwani! au nyie ndio nimewauliza?

Nimepitia post zako unazopost na kujibu wengine nilichokiona ni kuwa post zako huwa ziko chini mno ya kiwango na huwa una majibu ambayo hayaonyeshi kuwa wewe ni great thinker!!! Hoja zako ziko below sea level.

Anyway lengo langu halikuwa hilo unalotaka wewe mimi nilitaka tu kuonyesha kuwa Raisi Samora alikuwa na stamina ya kuweza kusimama muda mrefu juani na kuongea mfululizo kwa masaa saba.
 
Hotuba ndefu niliyowahi kuisikiliza Tanzania ni ile ya Raisi Samora Machel aliyohutubia mwaka 1975 uwanja wa Samora Machel pale Iringa mjini alipofika kutoa shukrani kwa Tanzania kuhifadhi na kufundisha wapigania uhuru wa Msumbiji.Alikuwa na mkalimani wa kireno aliyekuwa akitafsiri kireno kwenda kiswahili

Akiwa amevaa nguo za kaki za kijeshi na kofia ya kaki ya kijeshi na akiwa amesimama kijukwaa cha wazi juani alihutubia mfululizo kwa masaa saba bila kupumzika wala kuomba maji ya kunywa.

Mwanaume alikuwa na stamina ya kuhutubia.Nilimkubali kuwa kijeshi alikuwa fit.

angekuwa mnyarwanda tayari watusi walishaleta uchuro hapa awe raisi wa tanzania
 
Jamaa alikuwa mwanaume wa shoka hata kwenye mikutano yake kama utapata kuona picha zake the guy was ready at any time ..... ..... ..... what a leader sio hawa wezi wa kwetu wanaotuibia kila kukicha.

Mwanaume wa shoka kweli kweli. Coz hata wanawake alikuwa nao wa kutosha mpaka wengine katuachia kinondoni .. Naomba kujua hivi watu wa Mozambiq huwa wanapay visit kwenye kaburi la Lucina?(Mke wa Samora aliyefariki Muhimbili hospital)
 
Hotuba ndefu niliyowahi kuisikiliza Tanzania ni ile ya Raisi Samora Machel aliyohutubia mwaka 1975 uwanja wa Samora Machel pale Iringa mjini alipofika kutoa shukrani kwa Tanzania kuhifadhi na kufundisha wapigania uhuru wa Msumbiji.Alikuwa na mkalimani wa kireno aliyekuwa akitafsiri kireno kwenda kiswahili

Akiwa amevaa nguo za kaki za kijeshi na kofia ya kaki ya kijeshi na akiwa amesimama kijukwaa cha wazi juani alihutubia mfululizo kwa masaa saba bila kupumzika wala kuomba maji ya kunywa.

Mwanaume alikuwa na stamina ya kuhutubia.Nilimkubali kuwa kijeshi alikuwa fit.

Hakumfikia VK Krishna Menon wa India aliyehutubia umoja wa mataifa kwa masaa manane mpaka akizirai, ila akaendelea kuhutubia akiwa amewekewa drip ya maji asirai tena. Hiyo ilikuwa mwaka 1957 kabla wengi wetu hatujazaliwa!
 
Back
Top Bottom