denoo49
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 6,113
- 6,950
hii nayo ni habari? ijazie basi maneno gani yalizungumzwa na sio kama ile hadithi ya jamaa aliendaaaaa akaendaaaa akaenda akaendaaaa.. yaani akaendaaaaa na hadithi imeisha.. unadhani watu waelewe kipi sasa.... ujazaji wa server huu.... weka wazi kama ni record ya Dunia au vipi tuelewe... Samora Alipokufa Nyerere alilia na Kutokwa Machozi ?
leo sintochoka kucheka!!!! hahahahahaha. ila nazani hijajua nia na lengo la mleta mada.