Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
Hapokei hata Senti kumi linapokuja suala la malipo ( mshahara )
Anajilipia/kugharamia kuanzia:
a) Usafiri
b) Makazi
c) Malazi nk.
Pia timu yake anayoimiliki yaani MAMELODI SUNDOWNS (Masandawana) gharama zote za uendeshaji analipia yeye pia.
Kina Abou Hany, Samuel Eto'o na Fouzi Lekja (Malejedi ) wenye nia na ndoto ya kugombania urais wa Caf 2025 watangoja Sana, kiufupi Dr. Patrice Motsepe hana mpinzani
MALENGO YAKE:
1. Afrika kukua na kufika mbali kwenye soka duniani
2. Vilabu vya Afrika kujitegemea kiuchumi kwenye mpira
3. Afrika nzima kuwepo na viwanja Bora na vya kisasa
4. Mashabiki kuenjoy mpira wa soka ili kukuza mapato kuanzia vilabu mpaka timu za taifa nk nk.
Nawasilisha
Anajilipia/kugharamia kuanzia:
a) Usafiri
b) Makazi
c) Malazi nk.
Pia timu yake anayoimiliki yaani MAMELODI SUNDOWNS (Masandawana) gharama zote za uendeshaji analipia yeye pia.
Kina Abou Hany, Samuel Eto'o na Fouzi Lekja (Malejedi ) wenye nia na ndoto ya kugombania urais wa Caf 2025 watangoja Sana, kiufupi Dr. Patrice Motsepe hana mpinzani
MALENGO YAKE:
1. Afrika kukua na kufika mbali kwenye soka duniani
2. Vilabu vya Afrika kujitegemea kiuchumi kwenye mpira
3. Afrika nzima kuwepo na viwanja Bora na vya kisasa
4. Mashabiki kuenjoy mpira wa soka ili kukuza mapato kuanzia vilabu mpaka timu za taifa nk nk.
Nawasilisha