Raisi wa Israel,Isaac Herzog aiomba dunia iwe upande wao kuwashinda Hamas ili kuwarejesha mateka wao waliopo Gaza.

Raisi wa Israel,Isaac Herzog aiomba dunia iwe upande wao kuwashinda Hamas ili kuwarejesha mateka wao waliopo Gaza.

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Riasi huyo amesema Israel sio iliyotaka vita hivi na kwamba dunia ni lazima iwe pamoja nao kusaidia kuwashinda Hamas na kuwarudisha mateka wao nyumbani wakiwa salama.
Salamu hizo kwa dunia nzima kutoka kwa raisi huyo zimetolewa wakati ambapo vita hivyo vinakaribia kutiimima mwaka mmoja na huku vikiwa vimezalisha vita vyengine vikubwa kati ya Israel na Hizbullah pamoja na Houth wa Yemen

Israeli President Isaac Herzog says "we did not want this war"

 
Uzuri wa Israel anawaambia mapema muelewe.. ni kama albadir ukikataa litakalo kupata utajutua chumbani kwako na mkeo
 
Kule kila siku wanamalizwa 4 mara 6 mara 20 mara 12 watabaki kweli 😄
Ushasikia kifuatacho Gaza? Ni stage north gaza mpango unasukwa kupuuza International presha kwani haisadii Israel bali Hamas tu yaani wana control misaada ypte magaidi wameisha wanasajili upya mshahara ni chakula... jiandaeni kuandamana... UK tayari wameanza maandamano kuhusu Lebanon kupigwa.
Ndio ujue hypocrisy ya Muslims worldwide
 
Ushasikia kifuatacho Gaza? Ni stage north gaza mpango unasukwa kupuuza International presha kwani haisadii Israel bali Hamas tu yaani wana control misaada ypte magaidi wameisha wanasajili upya mshahara ni chakula... jiandaeni kuandamana... UK tayari wameanza maandamano kuhusu Lebanon kupigwa.
Ndio ujue hypocrisy ya Muslims worldwide
Nani aliye andamana kupigwa Lebanon wanacho lalamika hao wenye akili mbovu kutumia PETN kwenye vifaa vya mawasiliano inahatarisha dunia nzima. Sa hilo ndio jeshi kutumia technology hizo kufundisha watu kumbe tukiweka PETN tunalipua mobile, pager n.k.

Hilo jeshi la mashoga halina ubavu wa kupambana Hezbullah kawambia kama wao wanaume waingize boot zao Lebanon wataondoka na maiti tu.
 
Uzuri wa Israel anawaambia mapema muelewe.. ni kama albadir ukikataa litakalo kupata utajutua chumbani kwako na mkeo
tunajua upo upinde(upande) wao km wao wenyewe wanavyotaka so mkikutana wazee wa upindi itakuwa kabambe kwa wazee wa makobazi
 
Back
Top Bottom