Ushi na wewe unakuwa kama Mkimbiji bhanaNaona kama heading imeandikwa kishabiki zaidi...[emoji45] [emoji45]
Mbona sijaona hiyo picha ya Rais wa Somalia akisujudu kwa miguu ya Kenyata...!![emoji15] [emoji15]
Huyo Rais wa Mogadishu amewekeza mabilioni ya Fedha za Misaada ya Njaa ambazo zilikuwa zimelengwa kwenda kwa watu Maskini lakini wamewekeza NAIROBI sasa aliambiwa Hizo Pesa na Miradi itawekwa chini ya ulinzi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo jamaa anachora sabaJiwe.
[emoji40][emoji40][emoji40]Huyo jamaa anachora saba