Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Wakuu pale kwenye mshahara wa lecture...anyway
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kuumkumbatia umasikini, Bali kuogopa ulimbukeni unaoanzia kwa Baba au Mama na kushuka Kwa watoto. Kwanza unatakiwa kuelewa kwamba nia na madhumuni ya kujielimisha ni kujitoa katika Maisha ya ufukara na kutumia ujuzi au Elimu hiyo kuboresha Maisha yetu na njia za uzalishaji. Ili kuongeza tija.Ila hii tabia mbaya kabisa, tabia ya kuukumbatia umaskini kama ufahari, umaskini sio sifa hata kidogo, kujitia kuishi kiumaskini ni ujinga
Unajua hata maana ya umasikini ? Huyo Mwana unamuita Masikini ? Wewe ukiwa na viwili unazungwa na watu wenye nusu wewe ni masikini ? Au ukiwa na kimoja na unazungukwa na watu ambao hawana ndio utajiri ?Ila hii tabia mbaya kabisa, tabia ya kuukumbatia umaskini kama ufahari, umaskini sio sifa hata kidogo, kujitia kuishi kiumaskini ni ujinga
Tafuta na habari za Rais Mujica.Jamaa alikuwa lecturer alipomaliza akarudia kazi yake na anapanda usafiri wa umma anasimama hakuna anayempisha seat kwa sababu wamezoea si huku eti kiongozi akipanda bajaj au bodaboa au usafiri wa umma anajirekodi ili aposti aonekane mzalendo kwa sababu wanaona ni ajabu kuwa kama wale wanaowaongoza.
alikua mkorofi na mjeuri asie na maono 🐒Ex-President of Iran (2005-2013) Mahmoud Ahmadinejad , peacefully herding sheep after he resigned as president.
The ex-president renounced his presidential pension, returned to teach at the university, receiving $250 a month, and lives modestly in his house. When he stays at a hotel, he asks for a simpler room, maybe even without a bed, because he likes to sleep on the floor on one mattress under a blanket, he gets around by bus, the President of Iran sold his maintained Peugeot.
To questions about why he, being president for two terms, could have seriously improved his financial situation, but did not, Ahmadinejad answers that a real leader must live the way his people live. 🇮🇷
Hizo ni story tuJamaa alikuwa lecturer alipomaliza akarudia kazi yake na anapanda usafiri wa umma anasimama hakuna anayempisha seat kwa sababu wamezoea si huku eti kiongozi akipanda bajaj au bodaboa au usafiri wa umma anajirekodi ili aposti aonekane mzalendo kwa sababu wanaona ni ajabu kuwa kama wale wanaowaongoza.
Tatizo siyo katiba, ni watu (wananchi na viongozi).Mimi nafikiri tuchukue katiba ya Iran katika kupata wabunge ili tuondokane na malimbukeni na chawa. Watu waone ufahari kwa kutenda mema kwa nchi yao sio familia yao, Kwani tukiwa na misingi mizuri, hawa watoto na wajukuu wataweza kuishi kwa adabu.
Huamini kwa sababu umezoea viongozi wetu hawafanyi hivi. Huo ndio ukweli jamaa anaishi life lake kama kawaida. Mbona Bi Angela Markel tangu akiwa Councellor wa Germany hata supermarket alikuwa anaenda mwenyewe anabeba kitenga chake mwenyewe na kufanya manunuzi yake mwenyewe na anaishi kwa mshahara wake? Tazama maisha ya viongozi wa nchi za Scandinavia ni ya kawaida.Hizo ni story tu
Hahahaha. Eti kama laki saba hivi..huu ni utani.Wakuu pale kwenye mshahara wa lecture...anyway
Labda exchange rate yao ipo tofauti na huku TzHahahaha. Eti kama laki saba hivi..huu ni utani.
Huyu Lisu lazima una mimb.a yake, sio kwa kumuwaza huko!.Huku kwetu ndiyo kwanza Tundu Lisu anakamua walala hoi akanunue gari la kifahari!!
Chama ,kinawezaje kumnunulia gari binafsiHili suala la Lissu linawahusisha wajinga Tu. Haiwezekani CHAMA kishindwe kumnunulia gari....ety achangiwe na walalahoi.
Hapa wamepuyanga mbaya sana
Kwa hivyo gari binafsi ndo anunuliwe na wananchi? KAZI kukamuana Tu.Chama ,kinawezaje kumnunulia gari binafsi
Alipigwa risasi kwajili yetu na alichokipigania mahakama za kimataifa chini ya shahidi muhimu ,profesa mruma na ossoro , wananchi tunakamuliwa kilekile lisu alikisema akamiminiwa risasi kinatokeaKwa hivyo gari binafsi ndo anunuliwe na wananchi? KAZI kukamuana Tu.