Raja Casablanca fans tukutane hapa

mwarabu feki

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2023
Posts
811
Reaction score
1,811
Uzi huu utakuwa ni maalumu kwa wale wote wenye mapenzi mema na timu hii kutoka Morocco.
Ikumbukwe hapo jumamosi tuna jambo letu hapo nchini Tanzania [emoji1241].

Kile kipigo tulichotoa kwa wale waganda ilikuwa ni trailer tu, picha kamili litaanzia kwa hawa wabana pua wa [emoji1241]. Tutawakun'guta vilivyo kama tulivyowafanya kaka zao Mwaka 1998.

Jeshi Zima la wapambanaji tayari limeshatua kwenye ardhi ya nchi [emoji1241] tayari kutoa darasa kwa hawa wacheza singeli wa bongo.

 
Yani kaenda kuanzisha Id mpya ili awe mwarabu....aiseee Tanzania tuna safari ndefu...kwanza huu uchawi wa chuki baina ya Timu hizi mbili hiyo ya Taifa tusahau kuja kufanya vzr..
Ni upumbavu tu wa baadhi ya watanzania wasio na kazi za kufanya. Yaani unahangaika kufungua account mpy kwa jambo la siku chache?

Very stupid indeed!
 
Ni upumbavu tu wa baadhi ya watanzania wasio na kazi za kufanya. Yaani unahangaika kufungua account mpy kwa jambo la siku chache?

Very stupid indeed!
Yani naamini kabisa kwamba mashabiki wa Yanga wengi ni wajinga/hawana akili....
Huu ni upuuzi wa hali juu
 
Your browser is not able to display this video.
 
Yani kaenda kuanzisha Id mpya ili awe mwarabu....aiseee Tanzania tuna safari ndefu...kwanza huu uchawi wa chuki baina ya Timu hizi mbili hiyo ya Taifa tusahau kuja kufanya vzr..
Tulia wew sisi ndio Raja kiboko ya wacheza singeli. Tumekuja kwenye hii ardhi ya [emoji1241] kuwapiga km[emoji1623][emoji1623]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…