Raja Casablanca fans tukutane hapa

Karibuni tena ndugu zetu kila mwaka muwe mnakuja kutunyooshea huyu mtoto mtukukutu [emoji1666] Raja Casablanca #Nguvu moja
 
King[emoji146] of Serengeti mmetisha sana[emoji119][emoji119]
Yaani Leo ni siku ya nne ila watu bado wamejifungia ndani wanaugulia maumivu
 

Usipate shida bro…!!! Acha kila mtu aumie na timu yake. Asikulazimishe mtu uwe timu yke au uwe mzalendo. Kuwa au kutokuwa mzalendo ni maamuzi ya mtu. Na kuwa mzalendo kwa sababu ya mpira tu, huo sio uzalendo wa kweli…!!!
 
Kuna watu nawaonea huruma Leo[emoji38][emoji38]
 
Hata nikipewa trilioni mia moja siingii hapa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…