Raja Casablanca nayo yawakuta kama yalivyowakuta waliofungwa 5 juzi

Raja Casablanca nayo yawakuta kama yalivyowakuta waliofungwa 5 juzi

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Raja imepigwa ban kusajili hadi itakapowalipa ile timu ya Pape Sakho iliyoshinda kesi dhidi ya timu moja ambayo imeshusha kiingilio hadi 3000 baada ya kuona washabiki hawanunui tiketi na uwanja hata mashabiki efu 5000 hawatafika jmoc.

Raja ilimsajili winga Djibril Sylla kutoka ile timu ya Pape Sakho iitwayo Teungueth FC ya Senegal na ilipomuuza Azam haijapeleka maokoto kule Senegal, na wao pamoja na unprofessional wao yamewakuta.
 
Back
Top Bottom